KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
Mzabe makofi na hilo lisimu libamize ukutani......anakushinda mtoto wa kike mkuu....???
Mavijana ya siku hizi na nyie mkoje? Yaani JF ndo umepafanya MAHAKAMA? Umeshindwa kumwelesha akaelewa? Basi hiyo siyo ndoa ni ndoana!IMwanamke analeta chakula mezani vizuri wakati mnaanza kula yeye yuko busy na kuchati ,mkono mmoja uko kwenye screen ya phone Na mwingine ndio anakula nao ugali kwa samaki na maziwa kinachokera na kunikwaza ni hizi sauti za delivery or receiving sms ,kila saa visauti .vimlio vya kila aina .Nimeamua badala ya kukaa dining table niwe nakaa front porch ,help my self .kuliko kukaa dinning table na mtu ambaye mawazo yake hayapo pale ,sijui akili zao zikoje zinafikiria negative ,that is worse behavior ,halafu unakuta wanachat crap stuff that's worse part .Yaani kuja kushika hizi smartphone uzeeni ni janga la kitaifa kwa wale wanaozitumia vibaya ,Mbaya zaidi hawakufundishwa na wazazi maana kulikuwa hakukuwa na smartphone ,Cha kushangaza hata kama ni mtu mzima huna hata vichembembe vya akili kwenye brain vilivyobaki kujua wakati mko dinning table ni mahali pa kuheshimu kama vile mko msikitini au kanisani au kwenye funeral home, lazima mzime simu Au kutoa basi sauti .Mnakera sana .That's is a bull shit.UKIMWAMBIA ACHA SIMU ANAVUTA MDOMO MPAKA CHINI NA KUZIRAA WAKUU WANGU 🙁
Mavijana ya siku hizi na nyie mkoje? Yaani JF ndo umepafanya MAHAKAMA? Umeshindwa kumwelesha akaelewa? Basi hiyo siyo ndoa ni ndoana!
Midomo itavutwa na kubinywa balaa! !Jamani mnashindwa kuwaambia? Mwanaume akisema mke wangu sipendi hiyo tabia yako unavyofanya..huwa tunaelewa. Sauti ya baba kwenye nyumba ina nguvu sana na si rahisi kukaidi.
Blaza ww Magu.....!We ndo jipu unaanzaje kumruhusu mwanamke achart wakati anaandaa chakula, kuweni makini na smartfon ni chanzo cha kuondoa amani ya ndoa. Mi kwangu nikishaingia tu watu smartfon kule tunaanza mijadala ya maisha eitha kama kuna umuhimu wa kugugo apo mtu atachukua sim eitha kuprove habari tuloona kwenye tv ama kusikia redion
Chukua hiyo Simu ipasue pasue. Halafu mnunulie tochi
Kuendekeza MTU asiyekuwa na kiasi ni ujingaWonderful indeed, huo ndio ushauri wa maana nimekupenda bure miss chagga.
Hata kuchamba hawachambi wengine wapo busy na Simu ha haMuda si mrefu tutaanza kuwaajiri wafanyakazi wakutulisha chakula kwa maana hii kasi ya ukuaji wa technolojia itatushinda wengi
Kupasua simu utakuwa umeleta janga lingine huo ushaur wako siyoChukua hiyo Simu ipasue pasue. Halafu mnunulie tochi
Kama haelewi inabidi achukue hatuaKupasua simu utakuwa umeleta janga lingine huo ushaur wako siyo
Na Kama anajishughulisha kununua nyingine n rahsi hilo bado sio solution ya tatizo cha msingi ni yeye kumueleza mkewe nini hapendi na nn anapenda na kwa wakat Gan