Recent content by kisale

  1. kisale

    Katika tendo la ndoa nani hufaidi zaidi?

    Inabidi tutafute aliyewahi kukuna na sasa anachokonolewa,coz kila mmoja anaongolea experience upande wake.tunaomba bwabwa moja litupe jibu.
  2. kisale

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Maneno ya mfa maji hayo! huwezi dharau kikombe kama hicho while huwezi kuchukua hivyo vingine, huwezi hdarau shilingi 10 wakati huna ishirini, unless utakuwa chizi, nina wasi wasi huyu babu Wenger ameshachanganyikiwa huyu. Sasa kama kwake kikombe hakina maana ndio ashindwe japo kushikana mkono...
  3. kisale

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    unajua uzuri wa ushindi wa jana ilikuwa ni two in one. tuliwafunga The gunners direct, ila indirect Man utd nao tuliwapiga, ukitaka kujua hilo tafuta kama utampata shabiki yeyote wa Man utd aliyefurahia ushindi wa wanaume wa darajani dhidi ya vijivulana vya Emiretes.
  4. kisale

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Masanilo!!! Belo atakuwa kafa kwa mshtuko au kaamua kujinyonga. ila kwa Mashabiki wa the gunners nilipenda kuwaambia msihuzunike sana kwa sababu babu yenu alishasema kikosi chake ni cha ushindani na sio cha ubingwa.
  5. kisale

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jamani kwa wale wenzangu wadau wa theblues, j'pili tunatarajia kicheko mnoooo, nia ya kuwafunga hawa jamaa tunayo, uwezo tunao na sababu ya kuwafunga tunayo.Masanilo mwambie Bello asome haya mambo hapa chini.. Gallas is struggling with an eye injury following a clash of heads with team-mate...
  6. kisale

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Peasant!! sio tatizo kubwa sana kuwakosa hao jamaa, ukizingatia hatutakuwa na gemu ya kutisha sana, hapo tunamuhitaji Essien arudi mapema kuliko wengine wote, drogba tunaweza kulazimisha viraka vikaziba pengo lake ila kwa Mr Essien, kazi ipo. mechi za kipindi cha ACN ni hizi, Jan 9/2010 Hull v...
  7. kisale

    NASHINDWA KUELEWA:Hata wakikubali,bado natumia nguvu wakati wa kuanza majamboz

    kweli kaka wewe huchukui wa Jolly!! vipi wale wa kwa Mtitu, Buffalo na Usangule??
  8. kisale

    Wanaume wahuni na mapenzi

    MTM!! hiyo statement nina uhakika nayo kwa zaidi ya asilimia 95%, kwasababu mimi mwenyewe nimezaliwa Moshi nimekulia huko, na bado naenda kutembea huko mara kwa mara. maadili ya dini kwenye huu mkoa yapo juu sana, hicho kinawafanya wazawa wengi wa kule wachelewe kujiingiza katika mambo ya...
  9. kisale

    Wanaume wahuni na mapenzi

    Unajua nini Fidel!! ukweli unabaki pale pale ya kwamba haya mambo yanahitaji experience ili uweze kuyafaidi vizuri, ukiangalia akina dada wote wanaotajwa wanayaweza mambo utakuta wameanza hayo mambo mapema sana, sijui wakitanga, wamakonde, warangi na hata wazaramo...wote wanafunzwa mambo ya...
  10. kisale

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Du!! Nimefurahi sana kaka, kwa sababu msimu huu yupo vizuri sana, ukizingatia tuna wiki 2 tu kabla ya tarehe 4 october kukutana na wahuni wa kispaniola (Liverpool) Belo alikuwa anaombea sana jamaa awe nje muda mrefu.
  11. kisale

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ninachofurahi ni kwamba mashabiki wa Man utd wanaelewa vizuri ya kwamba wanabebwa, ukweli utendelea kubaki hivyo hivyo. Uefa hamna kubebwa huko, ndio sababu mlifanyiwa kitu mbaya kule Roma, waulize hao Barca watakuambia Stamford palivyo pagumu, na Moscow ingekuwa ni UK mngetufunga goli dk ya 96...
  12. kisale

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Masanilo hebu mueleweshe huyo ndugu yako Belo aelewe Man utd wamezidi kubebwa. Chelsea hatutegemei marefa sisi. ukitaka kujua Sir Alex anawategemea marefa soma hapo chini. Losing referees Riley and Styles worse than losing Ronaldo, says Ferguson! Manchester United boss Sir Alex Ferguson has...
  13. kisale

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    utajua mlibebwa au siyo mkija darajani tarehe 8 November, Burnley waliwashinda kwa sababu refa alikuwa mgeni wa ligi hajui kama Man U ni timu ya FA, angekuwa Mike Dean mechi mlikuwa mnashinda ile. Man Utd sio wabovu kihivyo, ila mtakapokutana na watoto mbwa darajani mtamkumbuka sana Mike Riley.
  14. kisale

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hiyo haiwezi kuondolewa na timu ya wachezaji 11 wa Man utd mpaka muongezewe akina Mike Dean na Alan Wiley na wengineo, tofauti na hapo. Man hamtowaweza Chelsea kwa mpira wenu wa kihivyo.
  15. kisale

    KWA WANAUME TU (no ladies plz)

    Mkuu Silent umenichekesha sana leo, natamani ungeweza kutuambia yaliyokukumba mpaka ukaamua kuwaza hili suala. mimi nadhani kusiweza kuwa na shindano la Miss Tanzania kwa sababu wale mabinti na vile vichupi vyao basi miluzi ingesababisha ukumbini kusiwe na maelewano. Fikiri uko home sebuleni na...
Back
Top Bottom