Recent content by KIRUWENY

  1. K

    Attention! Wasafirishaji wa vifurushi vidogo kutoa risiti za EFD

    EFD - Electronic fiscal device VFD - Virtual Fiscal Device N.B: Nimejibu bila ku google
  2. K

    Attention! Wasafirishaji wa vifurushi vidogo kutoa risiti za EFD

    Nilisahau kukwambia kuwa kuna malipo ya kila mwaka, kuanzia 60,000. Inategeme na kifurushi ulichochukua
  3. K

    Attention! Wasafirishaji wa vifurushi vidogo kutoa risiti za EFD

    VFD hiyo ni risit kwa njia ya Mobile APP. Yani wana install App kwa simu yako (ni kama App flan hivi ya shop management) ukifanya mauzo unaingiza kwenye simu yako then una issue TRA receipt. Sasa unaweza share hiyo receipt kwa njia ya email, whatsapp au uka i print kwa kutumia bluetooth printer...
  4. K

    Attention! Wasafirishaji wa vifurushi vidogo kutoa risiti za EFD

    Ndugu zangu, machine gani ya EFD ni nzuri ambayo haisumbui? Sitaki hizo za VFD
  5. K

    Malisa Gj: Naunga mkono "operesheni" ya kuwakamata mashoga inayoendelea nchini

    Maelezo mengi, pumba tupu. Watu wa siku hizi kujifanya wanauwezo wa ku reason
  6. K

    Wamiliki wengi wa majokofu/friji wanauelewa mdogo juu ya utendaji kazi wake

    Naomba kujua, nataka kuanza kuuza Gesi za friji; 1. Maduka ya kuuza Gesi za friji kwa jumla yanapatikana maeneo gani jijini Dar es Salaam 2. Gesi za aina gani zinazotumika kwenye Friji, AC, na AC za magari na zipi zilizopitwa na wakati (yani R22 au R420 n.k.)
  7. K

    Rasmi: Rishi Sunak Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza

    Ukweli ni kuwa, Kwenye kila jamii/ kabila kuna mburula na watu wenye mafanikio. Nyie waafrika wa UK huko ndo mnatuaibisha huko.
  8. K

    Rasmi: Rishi Sunak Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza

    Kwenye kila Kabila (au jamii tuseme) Wahindi, Wazungu, waafrika kuna vichwa maji na wapambanaji wanaofanikiwa. Kwahyo usitumie mifano michache kuwapamba au kuwaponda kabila au jamii flani. Kuna wahindi mburula mpaka unashangaa huyu wa wapi kama ilivyo kuna waafrika wapo smart na wanatuwakilisha...
  9. K

    Rasmi: Rishi Sunak Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza

    Waafrika haya makabila yametukaa sana. Mi naona tungebaki na utawala wetu wa Makabila hizi nchi zinatuzingua tu
  10. K

    Biashara ya vifaa vya umeme

    Mtaji wa Mil 4 Dubai kote tukafanye nini?
  11. K

    Mwanamke jela maisha kwa kumbaka mtoto wa kiume

    Ngoja nije mimi mzee kidogo ili unizeeshe zaid
  12. K

    Msaada: Biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani

    Hiyo biashara ya Mangi ni inataka moyo Ni biashara ambayo ni rahisi-ngumu. Yani ni rahisi kuanza lakini uendeshaji wake ni Balaa. Changamoto kubwa ni: 1) Muda wa kufungua na kufunga 2) Hesabu yake dukani (kama ndo umeajiri mtu, uwe na moyo wa uvumilivu) Tutaendelea....
  13. K

    Biashara ya kuuza gesi za kupikia

    Kilo 6 - 2,000 Kilo 15 - 5,000 mpaka 7,000 kilo 38 - 10,000 au chini kidogo
Back
Top Bottom