fikirijohnas
Member
- Nov 10, 2018
- 46
- 25
Habari za humu Great Thinkers!
Naomba kupata elimu juu ya biashara ya vifaa vya umeme kwa mtu mwenye mtaji mdogo wa angalau milioni 4.
Nitafurahi ikiwa nitaelimishwa juu ya muundo wa duka lenyewe, yaani vifaa gani viwemo kwa wingi, bidhaa zinazouzika kwa haraka, faida zake, changamoto na eneo ninapoweza kupata bidhaa kwa bei ya jumla na bei nafuu pia kwa mikoa ya kanda ya ziwa.
Nashukuru sana.
Naomba kupata elimu juu ya biashara ya vifaa vya umeme kwa mtu mwenye mtaji mdogo wa angalau milioni 4.
Nitafurahi ikiwa nitaelimishwa juu ya muundo wa duka lenyewe, yaani vifaa gani viwemo kwa wingi, bidhaa zinazouzika kwa haraka, faida zake, changamoto na eneo ninapoweza kupata bidhaa kwa bei ya jumla na bei nafuu pia kwa mikoa ya kanda ya ziwa.
Nashukuru sana.