Yawezekana hilo unalosema lakini vipi unamuogesha mtoto wa miaka miwili au tatu anayetaka kucheza?wakati mwingine mtoto anakimbia akiwa na mapovu ya sabuni hapo je sox itasaidia?
Heri ya mwaka mpya wanajf wenzangu!!
Mimi si mtaalam wa hili lakini ktk pitapita yangu kwenye building site mbalimbali nimeona watu wanachagua tiles ambazo ni hatari kwa watakaoishi humo hasa watoto!
kuna site ilinishangaza hata mafundi wanateleza sasa watoto watakaoishi humo itakuwaje?
Si...
kaka kwa sasa hatuna uwezo wa kufanya hivyo lakini nashukuru kwa kupata mwangaza kwamba ni ugonjwa na unatibika.home huwa hatumuelewi kwa hivyo ameachwa tu afanye atakalo na amekosa aman na amekuwa adui wa kila mtu maana anajihisi hakubaliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.