Watu hawewezi kuja na hoja nyepesi kiasi hiki.... bandle 1mb iuzwe hata laki moja.Watu wanapoteza muda mwing kwa hoja nyepesi...!Issue ya msingi tunashindwz kujua tofauti ya hoja na ushabiki
Nimesoma comment zate pamoja na uzi wote;Nilichogundua wa Tz wengi wana uelewa mdogo sana tena sana..Hawajui mkusanyaji kodi ya ardhi ni nani....wengi humu nadhan pia hawamiliki ardhi maana ni hela ndogo ya kodi ya ardhi kwa mwaka siyo hela ya kishindwa kulipa kama ukilipa kila mwaka..
...
Mkuu ushauri wako ni mzuri..mimi nimeanza na moja mwezi huu na kila mwezi nitaongeza nataka nione..Sijawahi fanyabiashara hata ya nyanya ila nimeanza na bodaboda moja mpya.Nimempa kijana namuamin tu,ni ya mkatabawa mwaka mmoja.Tumekubaliana mahali pa kwendakufanya service kila week .
Mimi kitu cha kwanza ni furaha na amani ya nafsi yangu ndo naingalia...mengine hayafata lakini kitu kinakotaka kuniondolea furaha yangu sikupi nafasi hata kidogo!!!!!!!!!!!!!..
Maisha yako ili yakamilike ni kuhakikisha una furaha muda wote!Hakikisha hukaribishi huzuni hasa ile inayosababishwa na watu....!Hakikisha kila unachokifanya unakuwa na furaha !Huyo dada mwambie aende na usimrudie maana kesha fumuliwa marinda tayari!Achana naye kabisaaaa!
Kijana una hatari...Huyu mjeshi na ulivojielezea yaan akikuta hii thread lazima akujue....mimi nshakujua kabisaaa!Its too risk kutoa details zako/mtu ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.