Recent content by kirango

  1. K

    Wachagga hii ni kweli?

    Nchi ya Tz bila wachaga hakuna kitu kitaendelea. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  2. K

    Huyu ndiye mtu sahihi kuiokoa CCM 2015

    Nani kakuambia huyu anaweza kuikomboa Tz?wale wale tu.hakuna lolote hapo.fisadi kama wenzake tu.kwao ana nyumba?muulize....kuna barabara? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  3. K

    Mgombea Urais ndani ya CCM atakuwa Mwanamke, Dr. Asha-rose Migiro

    Hapa kazi ipo,aanze kujipanga, Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  4. K

    Mbunge Lema Anena ya Moyoni

    Huyo atakuwa ametumwa na wanamagamba.ila A town tuko juu saaa ya ukombozi ni sasa. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  5. K

    Ephraim Kibonde;kuwaponda bank tellers kuwa ni wezi

    Akili ya mende hiyo Kibonde.fikiria kwa mapana zaidi. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  6. K

    Jaji warioba : Maridhiano ya kitaifa ndio yatakayoleta katiba bora kwa taifa.....

    Maccm wanataka katiba iwe yao,wanafikiria Tz ni ya ccm.hawajui ni ya watanzania. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  7. K

    Mwigulu Nchemba achaguliwa kuwa m/kiti wa Vyama vya Ukombozi kusini mwa Afrika

    Anakuja kumkomboa nani?ameonekana ----- ndo maana. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  8. K

    Picha za Kigali,Rwanda.Watanzania tuna cha kujifunza sana kuhusu usafi wa mazingira

    Jamani kukua kwa mji,na kuweka mazingira vizuri ni vitu vinavyotakiwa viende sambamba kama mko makini,tusije tukatoa sababu ambazo hazina maana yeyote,huko ni kutofikiria...... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  9. K

    Mahmoud Ahmadinejad working as professor again

    Yaan ndo maisha yanatakiwa hivyo,hawa wa kwetu huoni wanajipanga kujitoa ICC? Kwann?ina maana wana maovu mengi sana..... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  10. K

    Wassira hakika umepasua jipu, asante kwa kuelimisha watanzania

    Angetaja wajumbe wote,hapo inaonesha kuna mambo hayakwenda sawa na ndo maana Lissu na wengine wa upinzani wakawa hawakufikia muafaka. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  11. K

    Mwigulu Nchemba afunika Chicago, sasa kuhudhuria mkutano mkubwa wa vyama vya Ukombozi

    Nchemba akiwa kiongozi wa Taifa basi tujue watz hatuelewi maana ya kiongozi.Labda Iramba tu. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  12. K

    Live update mkutano wa CHADEMA Iringa Mjini

    Powerrrrrr. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  13. K

    Nahitaji mume mwema jamani

    Mungu pekee ndo atakupatia mume bora tu,nakushauri usali tu,mungu atakupatia . Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  14. K

    Mbowe: Nyumba kwa nyumba,mtu na mtu,kijiji na kijiji kata na kata,kijiwe na kijiwe mpaka kieleweke

    Mangi tupo pamoja jembe langu, Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  15. K

    Nbc mnafanya nini na dola za watu.

    Unawafahamu makaburu lakin? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Back
Top Bottom