Lakini kule kwenye cerebrity forum si ndo tunadiskasi watu..??? Au walioanzisha hiyo forum walikosea..??........discuss people
khaaaaaaaaaaaaaaa
Kweli Small Minds discuss..............
Kwani humu jamii forum tunawadiscuss wanyama?? Nyie ndo small minds,kama maada unaona mbovu we pita tu kuliko kuaribu hali ya hew
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
yea we are good at it...my swali ni "what are you good at'?
Sumu ya ukabila ni mbaya kuliko hata ya nyoka...kila siku wachaga weziiii wezi,kwanini wanaolalama nao wasiibe?
Ndugu arch! Hoja yako upande fulani ina mantiki.lakini kwenye kusema wachaga waachie ngazi uongozi mbalimbali si sahihi. 1.kwanza nawapa hongera kwa maadili yao ya maisha na uchapaji wa kazi.uvivu kwao mwiko na jamii iko tayari kukutenga! 2.lazima wakubali lawama zinazo waangukia kwani nyingi za kweli hivyo wajitahidi kubadilika.3.wakati makabila mengi tanzania(hasa sisi wanyamwezi na wasukuma)tulikua hatutaki kuendeleza kwetu na tulikua hatuna umoja ugenini wao kwao walipajali.big up wachaga nimeishi moshi hadi vijijini kuhusu wachaga sijasimuliwa!
Je wachagga hii inawahusu au mmesingiziwa?