Kwa hiyo hata salamu inakuwa big issue to discuss, ndio maana vijana wa siku hizi mnalalamika ndoa ngumu na bado. Mkiambiwa ndoa sio kwa ajili ya kila mtu mnakataa.
Nb; narudia tena ndoa ni kwa ajili ya wanaume na wanawake sio ya wavulana na wasichana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.