Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Naombeni msaada ni jinsi gani naweza jinasua na hili janga. Nimefikia hatua ambayo nisipoonja mbususu ndani ya siku tatu napata disturbance kwenye mkuyenge, yaani nakosa amani, uhuru, utulivu.
Napata hamu kali sana ya ngono. Natamani kila mwanamke ninaekutana naye nimvute kichochoroni nimdinye.
Uchungu huu unafikia hatua ya kunifanya niirejee punyeto, lakini nayo haisaidii kitu. Yaani ni heri nikeshe na mbususu usiku kucha kuliko kula. Threesome sex kidogo nitasogezea siku tatu, maake kuna binti na mdogo wake wamejitolea kwa ajili yangu.
Ushauri wakuu, tatizo litakuwa nini?
Napata hamu kali sana ya ngono. Natamani kila mwanamke ninaekutana naye nimvute kichochoroni nimdinye.
Uchungu huu unafikia hatua ya kunifanya niirejee punyeto, lakini nayo haisaidii kitu. Yaani ni heri nikeshe na mbususu usiku kucha kuliko kula. Threesome sex kidogo nitasogezea siku tatu, maake kuna binti na mdogo wake wamejitolea kwa ajili yangu.
Ushauri wakuu, tatizo litakuwa nini?