sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,237
- 8,999
Kama vp toka barutiMimi kuna mwalimu nimempiga chini juzi. Yaani nampelekea moto hadi anakiri kwamba hajawahi kupata hizi raha usichana wake wote.
Na yeye ndie msumbufu kunihitaji mimi kuliko mimi kumuhitaji yeye.
Ajabu yake anataka niwe nampa hela wakati kazi yote kitandani nafanya mimi.
Sasa mtu kama huyu inabidi yeye ndio anipe hela mimi. Kapata nyongeza serikalini lakini hatosheki
Kazi kuniambukiza U.T.I tu... mxeeew!