angalia vituo vyote vya luninga vitakavyo rusha game hii uone wachambuzi watakuwa wanamzungumzia nani. hapo ndo utajua nepi utashika wewe. hivi sasa nasikiliza dw radio kipindi cha michezo anazungumzwa megician
hii game ni kati ya mtu mmoja (messi) vs eleven players (buyern). huyu jamaa awapo uwanjani ni tatizo kwa timu pinzan. wachambuzi wa soka wengi wanasema uwepo wake uwanjani hushusha morali kwa timu pinzania. rejea mechi yao na PSG ya marudiano baada ya huyu jamaa kuingia.
CCM ni kama gogo linalopekechwa ndani kwa ndani.siku mchwa m4c watakapojitokeza mtajuta. jifunzeni kwa diallo na masha. hata wao walukuwa wanatoa idadi ya madiwani na wabunge kabla ya uchaguzi 2010. leo ccm jiji la mwanza ni historia. diwani kung'ang'ania takwimu ushapotea njia. barabara ndio...
Sio ulaya tu hata hapa afrika inawezekana. Jk na Mama Salma Kikwete wakitaka wimbi kuelekea kigamomboni kumjulia hali aliyepata kuwa Rais wa Zanzibar Aboud Jumbe.
zoezi la kuhesabu kura kenya limeingia dosari baada ya computer iliyokuwa inatumikia kupata hitilafu. Hivyo masanduku yote ya kura yanapelekwa nairobi kuhesabiwa manually.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.