KIPUMPUSWA
Senior Member
- Jul 16, 2011
- 106
- 35
The Hague! Anyway, kama UN itaamua kwa kuwapa ziwa lote Malawi kwa kutumia Heligoland - Zanzibar Treaty, tutarejda na kudai kufutwa kwa mataifa ya Rwanda na Burundi kwani mkataba huo unatambua eneo hilo ni sehemu ya Tanganyika. Kagame na Nkurunzinza wanakuwa wakuu wa mikoa ya Rwanda na Burundi mtawalia.
mi ntahamia mkoa wa rwanda.