Recent content by kipozi

  1. kipozi

    Wataalamu wa IT, nini kinachowazuia kuanzisha freelancing website's

    Nadhani ipo nimesahau jina ila Haina ushawishi sana
  2. kipozi

    Wanawake wa hivi Wana shida gani?

    Ni ushamba unawasumbua
  3. kipozi

    Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

    Pole ila hapo unatakiwa uwe mkali vinginevyo ndoa itakushinda hakuna mafahali wawil we ndo unatakiwa uwe na maamuzi ya Nini kinapikwa kulingana na budget Yako na ratiba ifatwe ilo jiko ni lako lake ameliacha kwa mume wake sasa asikuingilie na usiongee na house girl ongea nae mwambie wifi naomba...
  4. kipozi

    Tanga Pazuri Sana Sema Sijui kwa Nini Pako Vile

    Huwa najiuliza Kwanini sehemu nyingi za waswahili hawafungui maduka asubuhi Arusha saa 12 maduka ya mangi mtaani yamefunguliwa ila Kwa Tanga Dar na Zanzibar wanachelewa sana mtu anaewahi anafungua saa moja Tena hao wa saa Moja ni wachache
  5. kipozi

    Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

    No mimi sijawahi kuguswa na wachawi
  6. kipozi

    Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

    Hata Mimi ndo makanisa yangu kila nnapoenda TAG au EAGT
  7. kipozi

    DOKEZO Madaktari wa kizazi hiki mnatia aibu sana

    Mi huwa nikikuta daktari kijana naishiwa nguvu kabisa siwi comfortable napenda kitibiwa na madaktari watu wazima
  8. kipozi

    Ed Sheeran vs The Weekend nani zaidi?

    Mimi the weekend namsikiaga tu sijui wimbo hata mmoja ila ed Sheeran najua nyimbo zake nyingi
  9. kipozi

    Mapendekezo ya 'Ruti' mpya Dar

    Ivi goba hamna gari za mawasiliano coz pale Kuna gari zinapita msasani
  10. kipozi

    Nimenunua kifurushi cha Dstv cha shilingi 23,000 nimepewa Channel nne tu.

    Star times hata kama hujalipia unapata local channels zote
  11. kipozi

    Kwanini ubunge Viti maalum wapewe wanawake tu, vipi nasisi wanaume?

    Hivyo viti maalum hawajakurupuka kuviweka waliona jamii haimpi fursa sawa mtoto wa kike kusoma kama inavyompa wa kiume so ikabidi watoe nafasi za upendeleo ili wanawake nao wapate nafasi bungeni
  12. kipozi

    HUBA vs JUA KALI: Tamthiliya ya Huba wamekosea wapi?

    Anafeli lamata Jua Kali ingetakiwa iwe imeshaisha anaizungusha mpaka inaanza kuboa
Back
Top Bottom