Pole ila hapo unatakiwa uwe mkali vinginevyo ndoa itakushinda hakuna mafahali wawil we ndo unatakiwa uwe na maamuzi ya Nini kinapikwa kulingana na budget Yako na ratiba ifatwe ilo jiko ni lako lake ameliacha kwa mume wake sasa asikuingilie na usiongee na house girl ongea nae mwambie wifi naomba...
Huwa najiuliza Kwanini sehemu nyingi za waswahili hawafungui maduka asubuhi Arusha saa 12 maduka ya mangi mtaani yamefunguliwa ila Kwa Tanga Dar na Zanzibar wanachelewa sana mtu anaewahi anafungua saa moja Tena hao wa saa Moja ni wachache
Hivyo viti maalum hawajakurupuka kuviweka waliona jamii haimpi fursa sawa mtoto wa kike kusoma kama inavyompa wa kiume so ikabidi watoe nafasi za upendeleo ili wanawake nao wapate nafasi bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.