Mapendekezo ya 'Ruti' mpya Dar

Mapendekezo ya 'Ruti' mpya Dar

Hakuna Boss atapeleka gari sehemu ya mbali afu abiria hakuna.

Bunju KKOO hiyo ruti hautatokea sababu ni mbali sana
Mbona Mbezi-Bagamoyo ni mbali kuliko Bunju K/koo, abiria wapo sana tu mi naona.
 
Mbona Mbezi-Bagamoyo ni mbali kuliko Bunju K/koo, abiria wapo sana tu mi naona.
Mbezi Bagamoyo anapakia kuanzia Mbezi,Madale,Bunju,Boko hadi Bagamoyo na nauli imesimama.

Bunju KKOO hakuna anayeweza peleka gari
 
Tegeta-Kimara via njia nne kupitia temboni njia ni nzuri kabisa.
Ni nzuri kwa kupitika magari ila ni korofi sana haswa kipindi kama hiki cha mvua! Hata hivyo ki biashara Operation cost itakua juu sana ni rasta mwanzo mwisho
 
Hili swala wahusika wapo humu tunaomba walifanyie kazi. Fikiria watu wanaoishi maeneo ya Goba akitaka kwenda msasani anatumia magari matatu. Yani goba makumbusho, makumbusho morocco, afu ndo wapate la kwenda msasani. Kwa wanaoishi madale ndo wanatumia magari manne kabisa
Ivi goba hamna gari za mawasiliano coz pale Kuna gari zinapita msasani
 
Hakuna Boss atapeleka gari sehemu ya mbali afu abiria hakuna.

Bunju KKOO hiyo ruti hautatokea sababu ni mbali sana

Bunju-Kkoo na Mbezi-Bagamoyo ipi ni route ndefu?Au Makumbusho-Goba-Mloganzila
 
Ni nzuri kwa kupitika magari ila ni korofi sana haswa kipindi kama hiki cha mvua! Hata hivyo ki biashara Operation cost itakua juu sana ni rasta mwanzo mwisho

Ndo wazirekebishe maana ukifungua ruti umefungua biashara nyingi na frame zitajengwa sana mapato yataongezeka
 
Safari nyingi za kuingia kkoo ama posta zinakwenda kufa kutokana na mwendokasi. Mfano Tegeta kkoo itakufa pale mwendokasi itakapofika Tegeta same na Goms. Gari nyingi za chanika zitaishia Goms na abiria kuhamia kwenye mwendokasi either kwenda posta, kkoo, kimara, Tegeta etc.
Njia ya Bunju-Morocco ni feeder ya mwendokasi kwa Abiri wa Kimara, kkoo ama kivukoni/posta.
Nahisi kwa mpango huo itakuwa ngumu sana kwa serikali ku-introduce njia za kuingia kkoo ama kivukoni. Muhimu serikali iboreshe barabara za pembezoni ili wafanyabiashara waweze kupelekea vyombo vyao huko pindi leseni zao za kuingia mijini zitakapositishwa.
Kuna route ya mwendo kasi ya Mwenge-Ubungo-kkoo/kimara /mbezi/kibahaa/kivukoni, imeanza ili kutuandaa kuwa tutaanza kukomea mwenge kwa watumiaji wa Bagamoyo road
 
Lin pia Ni ujinga Sana kuendeleaa kuijali dsm tu wakt Kuna mikoaa kwenda mjini itakulazimu utumia elfu 20 kwenda mjini tu

Kutokana na ubovu wa barabara

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ndo wazirekebishe maana ukifungua ruti umefungua biashara nyingi na frame zitajengwa sana mapato yataongezeka
Mpaka kiongozi mmoja akaishi huko, haswa wa tanroad! Kwetu huko kuna barabara inajengwa haina hata tija zaidi tunashukuru pana panda thamani
 
madale-nyuki, nyuki-morocco, morocco msasani. La nne lipi ndugu muongo!
Mtu anaeishi madale mwisho na maeneo ya njia ya madale karibu na njia nne kwahiyo aende mpaka tegeta au anatakiwa aende njia nne?
 
Back
Top Bottom