Angekuwa ananunulika hiyo chadema isingekuwa hapo! Majority ya sisi waswahili ni key board warrior.. tunajua kubweka kwenye mitandao ila field sasa ni mbwa koko
Hii nchi kuendelea bado sana, kwa aina hii ya "great thinkers" tuna safari ndefu sana.
Mtu kaanzisha Uzi wake, hajakuita, humlipi chochote, lakini unataka kumpangia Cha kuandika. Mazee kaanzisha Uzi wako huko wa hiyo "true story" isiyo na chai uandike kile unapenda!
Muda wote hii chai, hii...
Ahsante sana mkuu lakini ingekuwa poa safi ukanishauri kimuundo au matumizi inakuaje? Yaani ni kama projector ya kawaida unatumie na PC au inakuwaje!! Natanguliza shukran mkuu
Sijaona la maana kwenye post yako. Nyakati hizi si za kuwaza ukabila bali uwezo na ubunifu wa kiongozi haijalishi anatoka ukanda upi as long ni mtanzania. Tunataka mabadiliko chanya, Twende na Mathias Simon Kipala!
Huyu jamaa Matias Simon Kipala namkumbuka sana aisee... Toka UDSM alikuwa rais wa serikali ya wanafunzi. Jamaa anayo misimamo sana pia busara. Nadhani ni aina ya kiongozi nchi hii inaitaji.
Dah! Hii kauli ya kamishina ya kutojali utajiri au nafasi ya mtu mbona ni ya kisiasa na ilishasemwa na watu Fulani...kwanini tusiamini anafanya hichi anachofanya kwa maagizo au kuwafurahisha kina fulani? Hii inaonyesha vyombo vyetu vingi vya dola vimetawaliwa na siasa hivyo kushindwa kufanya...
Ww hujielewi, umejaa ukada na uwezo mdogo... Unamjua kafulila wewe?.. Unadhani ni wakufananishwa na Ridhione??.... Peleka njaa zako huko, mtumwa wa akili tu ww, eti na ww ni DC!!!...Aibu tupu..
Wana ccm akili hawana, no wonder report ya twaweza ilionyesha wengi ni mbumbumbu....
Yaani wanaona ni sawa mwenyekiti wa chama kujiendeshea chama kama familia yake binafsi na kufanya wengine wote watoto wake, watafanya lolote aliloamua?..
Kwa wana ccm hapo hakuna tatizo ila tatizo ni kuwepo na...
Wamefanya nini cha maana??? Diwani wameshindwa kupata, sasa viti maalum wapewe vya nini???..
Kamati imeona iwape mwalimu ili awafundishe jinsi ya kujenga chama kama walivyofanya tanga.... Sasa wenyewe ni mbumbumbu wala hawana dira bado wanataka ateuliwe mbumbumbu mwenzao kuwaongoza.... It...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.