Recent content by kipira

  1. K

    Tozo za maegesho ya magari zapandishwa tena kimya kimya

    Mwaka jana mnamo tarehe 5/11/2021 aliyekuwa waziri wa TAMISISEMI Ummy mwalimu alitangaza kushusha tozo za parking ktk miji yote mikubwa nchini, na kwamba kwa Dar tozo itakuwa ni Tsh 2,500 kwa siku. Hii ilipokelewa kama habari njema kwa wananchi wanaotumia maegesho hayo kwani Tsh 4,500 kwa siku...
  2. K

    Wanahabari na wanasiasa kutoka makundi ya vyama acheni kupinga zoezi la machinga, mnatafuta sifa za kijinga

    The best Thread ever, we are trying to politicize everything and we end up living like donkey in our cities, Big up brother for a well written post.
  3. K

    New TARURA Parking Fee System inaenda kuwa aina mpya wizi na uonevu

    Mimi wiki iliyopita nilipack kisutu mida ya Saa mbili, kwa nusu Saa, baada ya hapo nikaenda Kkoo, mtu wa parking Kkoo ananiuliza umepaki wapi asubuhi hii? Mbona umechajiwa 4,500 kwa siku hii ya Leo ? Na hapo ni Saa Tatu asubuhi
  4. K

    Hivi hii harufu ya baadhi ya mitaa ya jijini Dar naisikia peke yangu tu?

    Ni kweli kunanuka sana, Mama Ntilie wanazalisha taka za maji machafu na mabaki ya vyakula kila kona ya jiji. Hizi zote zinamwagwa njiani na kwenye mitaro isiyotiririsha maji kila siku. Hii imepelekea harufu mbaya sana na hatari ya magonjwa ya mlipuko.
  5. K

    Ufafanuzi kuhusu kanisa Katoliki kutokuwafanyia maziko ya kikanisa baadhi ya waamini wake

    Umeandika na kufafanua vizuri sana. Mwenyezi Mungu akubariki sana. Tumsifu Yesu Kristu.
  6. K

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Chimbo jingine la Pochi ni pale mtaa wa Msimbazi karibu na Kwa Makoba. Kama unaenda Fire, baada ya Msimbazi Polisi, jengo linalofuata. Pochi zao ni nzuri sana na bei pia.
  7. K

    Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

    Either huna akili au hesabu ilikupita pembeni. Mwenzako anaongelea density wewe unaongelea uzito. Ni vitu viwili tofauti. Lorry linapimwa kwa cubic meter / tonnes.
  8. K

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    Ulitaka uwaone Mars au! Makazini pia kazi ambayo wewe unaifanya 5hrs inawezekana performance ya huyo ikawa 2hrs. Usitegemee kuwaona kwenye majukwaa ya Bongo flavor
  9. K

    Kwa hotuba hii ya Lissu, Prof. Kabudi ana mtego wa kuikana nafsi yake na maandishi ya taaluma yake

    Tundu Lisu " Bwana akubaliki na kukulinda, Bwana akuangazie nuru ya uso wake na kukupa amani"
  10. K

    Mafunzo ya CCTV camera, electric fence, Alarm system

    Let's be serious. Ku install CCTV camera miezi mitatu! Au kutengeneza camera yenyewe! Camera unakuja na visa vyake vyote complete. Kinachofanyika ni kuunga waya na terminal zake biashara imeisha. Bora ungesema siku 2 maximum. Vijana hawa wananjaa na lile kidogo walichonacho mnataka...
  11. K

    Kuendesha Gari Barabara Kuu Sasa ni Kero: Alama za 50km/hr Zinapaswa Kupitiwa Upya

    Wewe hujitambui na hujui usemalo. Cha kwanza nacho note toka kwako hung gari period
  12. K

    Shinyanga: Hotuba ya Rais Magufuli uwanja wa Kambarage

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Back
Top Bottom