Kuna tatizo la malipo ya pili kwa wakulima wa korosho. Wakulima wanadai 40% ya malipo yao ambayo walitakiwa kulipwa baada ya kuuzwa korosho zao kupitia mfumo wa Stakabadhi Ghalani.
Tatizo katika msimu wa korosho 2011/2012 soko la korosho Tanzania limeyumba, hivyo malipo hayafanyiki in time.
Fujo zipo kweli, hata mimi jana taarifa kama hii toka Tandahimba. Lakini tofauti kidogo na maelezo yako, nilichoambiwa leo asubuhi ni kwamba, baadhi ya watu ambao inasemekana kuwa ndio vinara wa hizo fujo ndio walengwa. Inawezekana huyo jamaa aliyekupa information hii ni miongoni mwa walengwa...
Problem itakayojitokeza kwa huyu m'dada, baada ya kupata third relationship, ni ku-break second relationship. According to her, ni kwamba she seem to love her second boyfriend too much in stead of how he treat her out of 'soccer city', and mind you, true love never die.
My advice to this mama...
Ina maana unataka kutuambia kwamba hujui kama mtandao wa Freemasons umeingia mpaka Vatcan? Mkuu unao mtandao hapo, hebu peruzi kuwanza halafu ndio urudi kujenga hoja kwenye hii mada. Unajua kwamba Pop hivi karibuni alishatoa tamko la kuwepo haja ya Dunia kuwa na mtawala mmoja? Kama unajua kwenda...
Mkapime nini tena? Mwaka m1 ulikuwa unaishi nae ki-vipi? Kama falsafa yako ni kutopima HIV, ina maana sometimes hata segele kavukavu kwako ni poa tu. Sasa kama mwaka mzima uko na huyo best usitudanganye kwamba hamjapiga pekupeku. Mwambie best afumbe macho tu msubiri matokeo. Kama hakuelewi pm...
Ahaa...! Kumbe sababu zako ni hizi...!? (1)Unapenda achelewe kurudi mpaka saa nne usiku ili uwe na muda wa kutosha kwenda kupigisha n'nje. (2)Akirudi nyumbani kapombeka, lazima atakuwa na usingizi mzito. Ikiwa hivyo unamsachi mifukoni na kuondokomba chenji iliyobakia. We bibie unatisha...!
Pamoja na kutuomba tufikishe ujumbe kwa ndugu na marafiki zetu, na wewe tunakusihi elimisha ndugu na marafiki zako. Ni aibu sana kwa mtu wa kizazi hiki kushindwa kujifunza hata mambo mepesi kama kutoa pesa kwa huduma ya M-pesa au kutumia ATM. Nasema ni aibu, tena ni ujinga usio na msamaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.