Recent content by kipasola

  1. K

    BAKWATA na Waislamu wengine, kila kitu kinachofanywa na Serikali kiko sawa kwenu?

    Ni kweli mkuu ndio maana viongozi wakristo wamejaa magerezani kwa kusema kwao ukweli mkuu
  2. K

    Bakhresa group punguzeni udini

    Sahihi mkuu na Ivona Kamuntu yule mswalihina kabisa
  3. K

    Bakhresa group punguzeni udini

    Mkuu ni kwelu kabisa ndio maana Charles Hilary kapewa kazi ni muislam yule hata na Patrick Nyembera wote waislam wale,uko sahihi kabisa
  4. K

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Sahihi kabisa ndio maana anawaongoza maprofesa na madokta mbalimbali kwa karama zake na si cheti mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
  5. K

    Willian anasema Ronaldinho ni kiboko kuliko Messi, unakubaliana nae?

    Messi will never reach Ronaldinho's level,he will remain to be best player but Ronnie is the definition of football
  6. K

    Simba na Mtibwa wanahoma zinazofanana!!

    Tumeona mechi kubwa na Mbao FC, Yanga walipiga mpira wa kufa mtu na ni kweli simba hawabadiliki ndio maana michezo yao yote hutumia mfumo wa 3-5-2 hawabadiliki hii toka msimu umeanza
  7. K

    Rais Magufuli: Waliovamia ardhi ya Wizara ya Elimu walinipa kura, wasihamishwe

    Sahihj mkuu wale wanaume wa Dar walojitia hawakumpigia kura wacha wajibebe[emoji16][emoji16][emoji16]wabomolewe tuuu ili 2020 wampigie kura[emoji16][emoji16][emoji16]
  8. K

    Makamanda, njooni na huu mkakati wa kuelimisha umma kipindi hiki cha biashara hii haramu inayoendelea

    Si lazima kuwe na shule za tope mkuu, yapo mengi tu,ht wale waliovunjiwa nyumba zao huku kukiwa na zuio la mahakama,hali ngumu ya maisha inawakuta watu wote,jambo la msingi waje na suluhisho la matatizo hayo na sio porojo tu
  9. K

    Sintofahamu yatanda kwa walimu wa sanaa katika shule za sekondari hapa nchini juu ya kuhamishiwa shule za msingi (IKAMA)

    Mwalimu wa msingi akiwa chuoni anafundishwa kuwa mwalimj wa masomo yote ya msingi,walimu wa sekondari wanafundishwa kuwa walimu wa somo moja au mawili tu. Sasa leo mwalimu ametoka sekondari anafundisha history anaenda msingi anapangiwa afundishe hesabu,mie nadhanj ufaulu utapanda hapo au...
  10. K

    Sintofahamu yatanda kwa walimu wa sanaa katika shule za sekondari hapa nchini juu ya kuhamishiwa shule za msingi (IKAMA)

    Mie naona waondolewe wote tuu maana hayo masomo hayana faida kwetu,hao walimu warudishwe majumbani
  11. K

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Uwe unatembea na mafuta vilainishi kabisa ili siku ukifumaniwa isiwe kazi ngumu sana mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom