Tumeona mechi kubwa na Mbao FC, Yanga walipiga mpira wa kufa mtu na ni kweli simba hawabadiliki ndio maana michezo yao yote hutumia mfumo wa 3-5-2 hawabadiliki hii toka msimu umeanza
Sahihj mkuu wale wanaume wa Dar walojitia hawakumpigia kura wacha wajibebe[emoji16][emoji16][emoji16]wabomolewe tuuu ili 2020 wampigie kura[emoji16][emoji16][emoji16]
Si lazima kuwe na shule za tope mkuu, yapo mengi tu,ht wale waliovunjiwa nyumba zao huku kukiwa na zuio la mahakama,hali ngumu ya maisha inawakuta watu wote,jambo la msingi waje na suluhisho la matatizo hayo na sio porojo tu
Mwalimu wa msingi akiwa chuoni anafundishwa kuwa mwalimj wa masomo yote ya msingi,walimu wa sekondari wanafundishwa kuwa walimu wa somo moja au mawili tu. Sasa leo mwalimu ametoka sekondari anafundisha history anaenda msingi anapangiwa afundishe hesabu,mie nadhanj ufaulu utapanda hapo au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.