Willian anasema Ronaldinho ni kiboko kuliko Messi, unakubaliana nae?

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Willian anasema Ronaldinho ni kiboko kuliko Messi, unakubaliana nae?

Aidha kasema siku hizi tuzo za mchezaji bora zina vipengele ambavyo kila saa hubadirishwa kulingana na ama CR7 au Messi amekosa kipi kifutwe na ana kipi kwa mda huo ili kiongezwe.

Vigezo vimekuwa vinabadirishwa muwafuata wao wana vigezo gani kwa muda huo, maamuzi ya tuzo ya mwaka2010 ambapo Messi alitwa Ballon dor ikibidi awe Iniesta na mwaka 2013 ambapo CR7 kabeba ilibidi awe Ribery, 2014 ilibidi Emanuel Neur wa Ujerumani.

Lakini history inahukumu mengi hapo baadae, narudia sisemi Messi si bora hapana kwa sasa hakuna wakupingana nae.

Alisema Willian


FB_IMG_1521120237066.jpg
 
Wivu wake tuu wa kupigwa mbili naye jana....that boy is from another galaxy, his brain makes decisions exorbitantly for defenders to confront...am glad to be alive to see this boy....it can take 100 years to have another one. Ronaldinho is just good on dribbling skills and samba style but nothing else...
 
Wivu wake tuu wa kupigwa mbili naye jana....that boy is from another galaxy, his brain makes decisions exorbitantly for defenders to confront...am glad to be alive to see this boy....it can take 100 years to have another one. Ronaldinho is just good on dribbling skills and samba style but nothing else...
Messi will never reach Ronaldinho's level,he will remain to be best player but Ronnie is the definition of football
 
Willian anasema Ronaldinho ni kiboko kuliko Messi, unakubaliana nae?

Aidha kasema siku hizi tuzo za mchezaji bora zina vipengele ambavyo kila saa hubadirishwa kulingana na ama CR7 au Messi amekosa kipi kifutwe na ana kipi kwa mda huo ili kiongezwe.

Vigezo vimekuwa vinabadirishwa muwafuata wao wana vigezo gani kwa muda huo, maamuzi ya tuzo ya mwaka2010 ambapo Messi alitwa Ballon dor ikibidi awe Iniesta na mwaka 2013 ambapo CR7 kabeba ilibidi awe Ribery, 2014 ilibidi Emanuel Neur wa Ujerumani.

Lakini history inahukumu mengi hapo baadae, narudia sisemi Messi si bora hapana kwa sasa hakuna wakupingana nae.

Alisema Willian


View attachment 715744
Haya kayasema lini mleta uzi?Maana naona watu mwili contena akili kisoda wameanza kuhusisha na Chelsea kutolewa jana!
 
Back
Top Bottom