britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Willian anasema Ronaldinho ni kiboko kuliko Messi, unakubaliana nae?
Aidha kasema siku hizi tuzo za mchezaji bora zina vipengele ambavyo kila saa hubadirishwa kulingana na ama CR7 au Messi amekosa kipi kifutwe na ana kipi kwa mda huo ili kiongezwe.
Vigezo vimekuwa vinabadirishwa muwafuata wao wana vigezo gani kwa muda huo, maamuzi ya tuzo ya mwaka2010 ambapo Messi alitwa Ballon dor ikibidi awe Iniesta na mwaka 2013 ambapo CR7 kabeba ilibidi awe Ribery, 2014 ilibidi Emanuel Neur wa Ujerumani.
Lakini history inahukumu mengi hapo baadae, narudia sisemi Messi si bora hapana kwa sasa hakuna wakupingana nae.
Alisema Willian
Aidha kasema siku hizi tuzo za mchezaji bora zina vipengele ambavyo kila saa hubadirishwa kulingana na ama CR7 au Messi amekosa kipi kifutwe na ana kipi kwa mda huo ili kiongezwe.
Vigezo vimekuwa vinabadirishwa muwafuata wao wana vigezo gani kwa muda huo, maamuzi ya tuzo ya mwaka2010 ambapo Messi alitwa Ballon dor ikibidi awe Iniesta na mwaka 2013 ambapo CR7 kabeba ilibidi awe Ribery, 2014 ilibidi Emanuel Neur wa Ujerumani.
Lakini history inahukumu mengi hapo baadae, narudia sisemi Messi si bora hapana kwa sasa hakuna wakupingana nae.
Alisema Willian