Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Teh teh yote kheriWewe hauko TZ najua unaosha vizee vya kizungu!!
Teh teh yote kheriWewe hauko TZ najua unaosha vizee vya kizungu!!
Wote waliopitaRais gan alitembea nchi nzima na kila mahali?
Mwisho wake 2020
Tanzania hatuna hiyo ila kama wa USAHermaphrodite!
Hawezi kufika kila sehemu...
Anafanya nini akifika huko?Lindi alienda nakumbuka alitoa order kivuko kiwekwe na mradi wa maji utekelezwe.
Mtwara alifika hadi Dangote na sasa hivi wanafanya installation ya gesi kwa amri yake.
Pemba/Unguja alienda.
Pwani amekwenda
Arusha/Manyara alienda na sasa hivi wanajenga ukuta kuzunguka mgodi.
Kigoma alienda kama mnakumbuka Zitto alitoa pongezi.
Mwanza, Kagera, Dodoma, Shinyanga kote kapita.
Acheni unafki aisee chuki hazijengi.
Sasa hivi yuko Singida
Mbeya kwa Sugu - CCM hata wafanyeje hawapati kitu pale.Mwisho wake 2020
Mbona hulipendi Taifa? Lakini ramli zako hazitafanikiwa.Mwisho wake 2020
Kaa pembeni.Sugu mwisho 2020 save the date
Niambie yupi hajatembelea kote huko.....Sasa yeye bado miaka7 husitoe hukumu...na sio kweli marais waliopita wametembelea kote huko sio kweli
Hasa ikiwa hawajampa kuraHawezi kufika kila sehemu...