Recent content by KiparaChaDamu

  1. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Upinzani chutameni, mpo Uchi

    Tawile baba tawile
  2. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli JamiiForums ina uhusiano na Wapinzani?

    Wanajamii forum naomba kuuliza. Kuna tetesi kuwa Jamii Forum ina mahusiano ya karibu na WAPINZANI. Je, ni kweli? Kwani kuna baadhi ya post zenye kuwagusa wapinzani huondolewa muda mfupi tu baada ya kupostiwa. Nahitaji maoni yenu wadau. Tafadhali msiniondoe ni maoni tu.
  3. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Sekta ya Utalii yaongoza kwa kuingiza mapato nchini

    hongera serikali ya awamu ya tano kwa kukusanya mapato ipasavyo, kwa mwendo huo miradi mingi ya maendeleo itatekelezwa.
  4. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli na karata ya machinga kuelekea 2020

    kwa kulaumu nyie hamjambo kila kitu lazima mulaumu sijui Serikali ifanyeje ndio muone imefanya la maana
  5. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania TFDA yawa mamlaka bora ya usimamizi wa dawa na vifaa tiba Afrika

    safi sana hongera TFDA
  6. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Usalama wa Taifa mmeshapandikiza hata Rais mmoja miongoni mwa nchi zinazotuzunguka?

    kwwani unataka mpaka wakimupandikiza wakupe taarifa
  7. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Bwana Mkubwa anavyopenda mara kwa mara kutoa Siri za masuala ya 'Kiuchunguzi' ya Watendaji wake huwa kuna Tija ya Kiuwajibikaji?

    wambie asiyependa kazi aache siye tupo kitaa hatuna kazi tunazisubiri kwa hamu nyie mnataka kuongezewa mshahara
  8. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Nape: Kinachoendelea ni mateso kwa wakulima wa korosho, hakiwezi kumaliza tatizo

    mkulima wa korosho lazima alindwe kwa hali na mali maana hilo swala la kangomba facilitator ni wanasiasa , hapa dawa ni kuonyesha shamaba ndio unalipwa
  9. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli na karata ya machinga kuelekea 2020

    kodi ni muhimu acha kulialia ndio hiyo inayojenga barabara, reli, interchange ubungo, maji, vituo vya afya unafikiri pesa zinatoka mbinguni????
  10. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la vitambulisho vya Rais Magufuli naomba nitofautiane

    umeongea point chukua soda kwa Mangi hapo
  11. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Kama hii tweet ni kweli basi Air Tanzania ni ya kuhurumiwa

    kwenye biashara hicho ni kitu cha kawaida kama kila siku ingekuwa ni hivyo hapo kuna tatizo
  12. KiparaChaDamu

    JamiiForums Tanzania Sauti yangu kwenu Makamanda Freeman Mbowe na Esther Matiko

    Haki sawa kwa wote baba.sisi wananchi wa kawaida tukikiuka masharti ya dhamana tunachukuliwa hatua lakini kiongozi akikiuka asichukuliwe hatua sababu yupo juu ya sheria au!uo ni uzwazwa
Back
Top Bottom