Kwa hili la vitambulisho vya Rais Magufuli naomba nitofautiane

Wakati Rwanda hadi muuza vocha kwenye foleni ya Magari barabarani anamashine ya EFD!

Kodi lazima ikusanywe. Hao tunaowaita machinga na hawalipi kodi kipato chake kwa mwaka ni kikubwa kuliko sekretari katika ofisi ya mkuu wa wilaya lakini huyu kila mwezi analipa kodi kwa lazima kupitia mshahara wake!


Watu walipe kodi. Kigali na Rwanda kwa ujumla mtu anaona ufahari kulipa kodi kwa sababu anaona faida ya kufanya hivyo!

Kwetu kidogo ni tofauti. Wengi wanaolipa wanaona wanalipa kodi kubwa, na hawaoni faida kubwa ya kufanya hivyo kwa sababu ama hawaoni tija ya kutosha kutokana na kodi zao, ama wanaumia kuona wengine ndio wafaidikaji wakubwa wa kodi zao, na wengine wenye vipato zaidi yao hawalipi kodi ipasavyo!
Umeandika mambo ya msingi kodi kubwa inaliwa na wAchache ndo maana kila mwaka ripoti ya C.A.G lazima ibaini madudu.
 
Rubbish!!! Kila jambo ni kuiga kwa kagame kwamba viongoz wetu hawawezi kufikiri sawasawa mpaka kagame awasaidie?Inasemekana hata mswada wa vyama vya siasa umekopiwa huko!!!!Huuu ni ujuha wa hali ya juu kwa nchi iliyojaa miprofesa
Hawajui huyo tall anaiba kongo almasi. Hao machinga wake wanampamkodi kiasi gani. Mwambie aachane na kongo tuone wingi wa kodi zake
 
Mpaka kitu kikatolewe maamuzi na Rais maanake kajiridhisha na kupata ushauri wa wataalam wa mambo ya KODI with relevant studies kutoka nchi zilizofanya best practices za formalization ya SMEs. Mathalan wachimbaji wadogo nchini wanahitajika kirasimishwa sio kwa sababu ya kutambulika kama walipakodi wadogo bali pia kujua idadi yao ili kuweza kuwapangia mipango ya maendeleo. Binafsi nalikaribisha zoezi hili kwa mikono miwili na nina uhakika wahusika watalipenda na litakuwa na manufaa zaidi kwao tofauti na tunavyodhani
Nilichoona hapo ni code mixing. Unaleta sana nadharia za darasani kwenye uhalisia. Huyu jamaa ni mangapi kayaweka kwenye utekelezaji na yakaleta mrejesho hasi? Utakuwa mgeni bado
 
Rais nchi yoyote ndiye msimamizi wa Ilani, sera, sheria, utekelezaji na utendaji wa serikali.

Toka mapema mimi silifagilii sana suala la machinga kwa vile kimsingi ni kuahirisha tu tatizo kubwa la sera ya ushirikishwaji na ajira za vijana wasio katika ajira rasmi.

Leo tumeshuhudia machinga kupewa vitambulisho ambavyo kimsingi havieleweki kuwa ni vya nini haswa.

Kwa wamachinga its a licence to kill, and with impunity.

Katika Tanzania na kwingineko, wafanya biashara lazima wawe na formal distribution lines.
Na hizo distribution lines ndio unaweza kupata ukusanyaji wa kodi.
Dr Mpango amelizungumzia hili tatizo Bungeni juu ya upotevu wa kodi kwa kuwapa kipau mbele machinga.
A person of no fixed abode hawezi kuwa msingi mzuri wa kodi kwani nitajiuliza, atapataje TIN, EFD na hata kukadiriwa na ku enforce kodi zake za mapato!

Tusijejidanganya, kundi hili la machinga do not add value kwenye product wanayouza.
Wanachofanya machinga ni subsistance bussinessing at the expense of tax evasion.
Kwa vile hawalipi kodi they can afford kuuza bidhaa kwa bei ya chini.


Tukirudi kwenye somo la DS pale Mlimani, nililoliona siku nyingi, machinga lazima waboreshewe mazingira ili warudi kwenye basic means of production, KILIMO.

Kuwasajili machinga kwa vitambulisho sana sana tunakoleza umasikini na kuahirisha ufumbuzi wa tatizo.

Of course kuna political capital katika kuwaenzi machinga lakini hilo si tatizo la kuisha leo au kesho, lazima liwe na sera, mipango endelevu na ya muda mrefu.

Mbaya zaidi, Mh Rais anapo decree a solution to a percieved problem, hakuna wa kupinga.

Ni mawazo tu, naweza kuwa wrong, lakini TRA, wana kazi.
Muhimu si haya uliyoandika kwa sasa,kubwa ni kupata uungwaji mkono wa kisiasa,
 
Washauri gani wa kodi??wakati yeye ndiye alikuwa anatoa maelekezo kwa hao wataalamu wa kodi ambao ni TRA???hivi kama kuna kinga ya kutolipa kodi,sibora nigawe bidhaa zangu kwa Machinga tu?
Mpaka kitu kikatolewe maamuzi na Rais maanake kajiridhisha na kupata ushauri wa wataalam wa mambo ya KODI with relevant studies kutoka nchi zilizofanya best practices za formalization ya SMEs. Mathalan wachimbaji wadogo nchini wanahitajika kirasimishwa sio kwa sababu ya kutambulika kama walipakodi wadogo bali pia kujua idadi yao ili kuweza kuwapangia mipango ya maendeleo. Binafsi nalikaribisha zoezi hili kwa mikono miwili na nina uhakika wahusika watalipenda na litakuwa na manufaa zaidi kwao tofauti na tunavyodhani
 
Rubbish!!! Kila jambo ni kuiga kwa kagame kwamba viongoz wetu hawawezi kufikiri sawasawa mpaka kagame awasaidie?Inasemekana hata mswada wa vyama vya siasa umekopiwa huko!!!!Huuu ni ujuha wa hali ya juu kwa nchi iliyojaa miprofesa
Wewe ni mpuuzi wa kupuuzwa si tu na wanajukwaa hapa bali pia na familia na hata mke/demu wako!

Maana unawivu wa kihadija kopa!...yani kutoa mfano kwa wengine walivyofanya na kufanikiwa kwako imekuwa gere?

Nenda kamuuliz3 Mh. Rais utaratibu huu amejifunza au kuona wapi hata yeye kaona umuhimu wa watu wake kuwa na utaratibu wa namna hii wenye manufaa kwa kundi la wasio katika ajira rasmi!

Ujinga ujinga huu wa kwako wa kujiona mjuaji na ambaye hutaki kijifunza mazuri kutoka kwa watu wenzako waliofanikiwa ni ujinga mkuu wako kuliko hata ujinga wako wa kujibu jibu tu pasipo kutafakari!

Stupid!
 
Wewe ni mpuuzi wa kupuuzwa si tu na wanajukwaa hapa bali pia na familia na hata mke/demu wako!

Maana unawivu wa kihadija kopa!...yani kutoa mfano kwa wengine walivyofanya na kufanikiwa kwako imekuwa gere?

Nenda kamuuliz3 Mh. Rais utaratibu huu amejifunza au kuona wapi hata yeye kaona umuhimu wa watu wake kuwa na utaratibu wa namna hii wenye manufaa kwa kundi la wasio katika ajira rasmi!

Ujinga ujinga huu wa kwako wa kujiona mjuaji na ambaye hutaki kijifunza mazuri kutoka kwa watu wenzako waliofanikiwa ni ujinga mkuu wako kuliko hata ujinga wako wa kujibu jibu tu pasipo kutafakari!

Stupid!
It's contentious debate that need not only critical thinking but also intellectual capacity.You don't deserve!!!You are a foolish fool!!Sina muda wa kupoteza na watu wenye local mindset wasiojua mana ya creative thinking!!!!Majuha kama nyie ndo mafuas ya mfalme juha.
 
Mpaka kitu kikatolewe maamuzi na Rais maanake kajiridhisha na kupata ushauri wa wataalam wa mambo ya KODI with relevant studies kutoka nchi zilizofanya best practices za formalization ya SMEs. Mathalan wachimbaji wadogo nchini wanahitajika kirasimishwa sio kwa sababu ya kutambulika kama walipakodi wadogo bali pia kujua idadi yao ili kuweza kuwapangia mipango ya maendeleo. Binafsi nalikaribisha zoezi hili kwa mikono miwili na nina uhakika wahusika watalipenda na litakuwa na manufaa zaidi kwao tofauti na tunavyodhani

Siyo kwa mfumo wa Urais wa nchi yetu na hususani Rais huyu tuliye naye sasa ofisini!!

Mimi ukiniambia amepata ushauri kwa wataalamu wa mambo ya kodi, nitakukatalia katukatu hadi mwisho....

Kujua kuwa ni maamuzi ya toka chumbani kwake pengine na watu wasiozidi wawili ama watatu, chunguza lugha yake anapokuwa anaongea....

Yaani ni uthibitisho tosha kuwa hakuna ushauri wowote bali ni kichwa chake tu kimeamua!!
 
It's contentious debate that need not only critical thinking but also intellectual capacity.You don't deserve!!!You are a foolish fool!!Sina muda wa kupoteza na watu wenye local mindset wasiojua mana ya creative thinking!!!!Majuha kama nyie ndo mafuas ya mfalme juha.
Ni sawa ndugu msomi! ...huhitaji kufanya mdahalo nami. Ni sahihi kabisa maana ninyi ndio mnaofikiri vema na kwa ufasaha kuliko sisi darasa la saba!


Kuna mchambuzi mmoja wa mpira hapa nchini kasema sie darasa la Saba hatuwaogopi ninyi Maprofeseri na madaktari wa Falsafa ni sababu kama hizi na uongeaji kama huu wako.

Tufanyeje sasa!...tushawazoea mlivyo.

Mie darasa la saba nimekueleza nilichokishuhudia Rwanda, hata Angola na pia Botswana kwa uchache wake namna mfumo huu ulivyo.

Lakini nimeambulia kutoka kwako vingereza vingi na mijitusi ya Kimarekani!😂😂😂😂😂

Basi sawa ndugu yangu mzee wa Kupunguza!

Usinijibu tena maana sina muda wa kujibu zaidi ya kumalizia kukamua miwa hapa wateja wananisubiria!
 
Nadhani hili ni jambo jema pia kama yalivyo maamuzi mengine ndani ya serikali ya awamu ya tano. Mkuu nimewahi kukaa Bangkok hawa wamachinga wamerasimishwa na wamewekewa mazingira bora ya kufanyia shughuli zao. Kila mama ntilie, machinga, fundi saa, waendesha bodaboda almaarufu "tuktuk" wanalipa kodi kiduchu kiduchu na wanavimashine vyao vya EFD. Yaani hata huitaki risiti ukipewa baada ya kununua chungwa moja machinga yuko radhi akukimbilie uichukue risiti. Na wanauzalendo hasa sababu kubwa ni kwamba wamerasimishwa na kuwekewa mazingira bora ya kazi zao. Taxi drivers wameweka meters ukishuka tu unapewa risiti hata ukionesha hutaki kuichukua atakubembeleza. Makundi maalum ya walemavu wamewekewa maeneo maalum na au muda maalum wakufanya biashara zenye bidhaa tofauti mbele ya maduka yanayouza bidhaa tofauti na zao. Mfano wanauza nguo mbele ya maduka ya spea za magari na wanavaa ID zao kama za Uncle MAGUFULI. Halmashauri zitumie fursa hii ya urasimishaji kuwapa vipaumbele ktk kuwatengenezea mazingira bora ya kufanyia shughuli zao
Msomi mitigator njoo na huku utoe matusi bwana huyu yeye katoa mfano wa Bangkok Thailand! Niliyetoa wa Hapa Rwanda ulichukizwa sana!
Bila shaka huyu utachukizwa zaidi!
 
Kwanza umekosoa na haujatoa ushauri nini kifanyike, hiyo degree yako ya DS haina maana.

Machinga haendi dubai wala beijing kufata mzigo ananunua kariakoo na kumpelekea final consumer huo mzigo ushalipiwa kodi bandarini na kariakoo unataka na machinga alipe vat import duty etc huo ni ujinga wa kisomi.

Mtu mwenye mauzo ya 4m kwa mwaka faida yake kwa mwezi sidhani hata laki inafika unataka anunue efd ya milioni moja siwendawazimu huo.

Uliposoma na shemeji yako akakusaidia kupata kazi kumbuka mkopo uliokusomesha ambao yata haujamaliza kuulipa unatokana na kodi ya machinga mnyonge siku ingine muwe na adabu
Soma tena bandiko lake naamini hujaelewa vizuri, pitia polepole kila neno kila sentensi japo kachanganya lugha lakini kaongea vizuri sana.
 
Msomi mitigator njoo na huku utoe matusi bwana huyu yeye katoa mfano wa Bangkok Thailand! Niliyetoa wa Hapa Rwanda ulichukizwa sana!
Bila shaka huyu utachukizwa zaidi!
Unapofanya comparative analysis lazima ireflect social setting and policy as well.So far hata walioformal sector hawatumii mashine unajua kwa nn serkali haina uwezo wa kununua hizo mashine ili zitumiwe kwakua ni wajibu wake kisheria kuzitoa bure!!Mama ntilie anaweza kununua mashine ya laki 7?Tuache ushabiki wa kilevi kulinganishavisivyo linganishwa!!
Hapa tuisaidie serikali kuweka sera sustainable sio za kukurupuka ili zilete ufanis kwa taifa na watu wake
 
Kila mkoa vitambulisho 25,000. Kila kitambulisho shilingi 20,000. Jumla shilingi 500,000,000.

500,000,000 x mikoa 30(Minimum) = 15,000,000,000 shilingi za Kitanzania kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Naomba kujuzwa, Hivi mikoa ya kule Zanzibar imo!?
 
Mpaka kitu kikatolewe maamuzi na Rais maanake kajiridhisha na kupata ushauri wa wataalam wa mambo ya KODI with relevant studies kutoka nchi zilizofanya best practices za formalization ya SMEs. Mathalan wachimbaji wadogo nchini wanahitajika kirasimishwa sio kwa sababu ya kutambulika kama walipakodi wadogo bali pia kujua idadi yao ili kuweza kuwapangia mipango ya maendeleo. Binafsi nalikaribisha zoezi hili kwa mikono miwili na nina uhakika wahusika watalipenda na litakuwa na manufaa zaidi kwao tofauti na tunavyodhani
umeongea point chukua soda kwa Mangi hapo
 
Kila mkoa vitambulisho 25,000. Kila kitambulisho shilingi 20,000. Jumla shilingi 500,000,000.

500,000,000 x mikoa 30(Minimum) = 15,000,000,000 shilingi za Kitanzania kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Naomba kujuzwa, Hivi mikoa ya kule Zanzibar imo!?
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi.
Essence haswa ya hivyo vitambulisho ni nini?

~Kutosumbuliwa?
~Ukipata unasamehewa kodi?
~Mali ghafi unanunua bila kodi!
~sehemu ya biashara inabaki barabarani?

Nia haswa nashindwa kuelewa.
 
Bado siamini nilichosikia na kukiona!!! Eti Rais katoa vitambulisho!!! Anajua kitakachotokea kwenye mfumo wa makusanyo ya kodi? Ghosh, tunaye Rais!!!!!!????!!!!!
Kitatokea nini? Mchinga siku zote halipi kodi , bali husumbuliwa na mgambo, itasaidia wasisumbuliwe na mgambo wa.jiji.
 
Back
Top Bottom