KiparaChaDamu
Member
- Nov 27, 2018
- 12
- 18
Wanajamii forum naomba kuuliza.
Kuna tetesi kuwa Jamii Forum ina mahusiano ya karibu na WAPINZANI. Je, ni kweli?
Kwani kuna baadhi ya post zenye kuwagusa wapinzani huondolewa muda mfupi tu baada ya kupostiwa.
Nahitaji maoni yenu wadau. Tafadhali msiniondoe ni maoni tu.
Kuna tetesi kuwa Jamii Forum ina mahusiano ya karibu na WAPINZANI. Je, ni kweli?
Kwani kuna baadhi ya post zenye kuwagusa wapinzani huondolewa muda mfupi tu baada ya kupostiwa.
Nahitaji maoni yenu wadau. Tafadhali msiniondoe ni maoni tu.