Recent content by kipala1

  1. K

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Mwanamalumbe we unajua kumbe drycell ndo nzuri, mimi shamba napokaa nawashkaji kama watano tulinunua la solar pamoja ila wao wakajifanya wajuaji wakachukua betry za maji ila mimi nikachukua drycel, basi jamaaa wote sasa hivi betry zao zishakufa na wananiletea smartphone zao niwachajie kwangu
  2. K

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Charger control zipo nzuri tu za India hadi 30,000 na warranty one year usiwe mvivu tu wa kutozunguka madukani. Nenda maduka ya wahindi kkoo wana vifaa vyote vya solar, unaweza zunguka maduka hata maduka 20 hafu utagundua vifaa vya solar vipo vingi na bei tofauti tofauti.
  3. K

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Waje kina nani? Au unadhani mi nimetoa hewani nilichomshauri. Mimi pia ninatumia solar huu mwaka wa pili namaliza na sijapata tatizo lolote ndio maana nimemshauri kadri ya nijuavyo kuhusu solar systrms mkuu
  4. K

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Sasa hiyo overcharging itatoka wapi wakati charger control ipo inafanya kazi ya ku control betry isiwe overcharged.
  5. K

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Ukiwa na 170,000 Kkoo waweza pata n100 ya solar, cha msingi upate duka lenye warranty si chini ya mwaka
  6. K

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Polesana, nakushauri nunua betry ya dry. Zinakaa sana na chaji na ni imara
  7. K

    Gwajima: Nina mazagazaga kibao kuhusu Daudi Bashite

    Wewe gwajima muuza ngada wewe,aya nawe tupe chanzo cha umilionea wako tuone!!!!
  8. K

    Balozi Dr. Dau (PhD), mtumishi wa kupigiwa mfano

    Alijenga kwa pesa zake sio
  9. K

    Balozi Dr. Dau (PhD), mtumishi wa kupigiwa mfano

    Funza wewe na bashawako dau
  10. K

    Balozi Dr. Dau (PhD), mtumishi wa kupigiwa mfano

    Dr dada hafai hata kulumwagia
Back
Top Bottom