Nina matatizo mawili kwanza computer yangu ni HP pavilion g4 inanguruma abnormal kwenye feni baada ya kushusha window 7 na kuweka nyingine same type. Pili kwa wale wanaojua kutumia statistic analysis SPSS yangu nikiingiza data nikitaka kuserve inastack na kutofanya kazi zaidi ya kuminimize tu
Yapita sasa wiki tatu na wengine wiki NNE bila boom wengine hatujaona maina ya kusaini ilihali vyuo vingine mambo ni poa. Huku kwetu vipi tumekopa hadi basi. Saidieni kutufikishia ujumbe majuu au kama kuna viongozi wa serikali humu embu watuangalie na sisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.