Watu wangefanya mpango waweke app ya kuhifadhi WiFi kwenye simu then ukitoka eneo lenye WiFi unaweza kutumia sehemu nyingine hizo Data hata kama ukiwa nyumbani, hata ikiwa ya kulipia watu wataliipa pesa nyingi tu.
Kwa nini wasi-create app inayoweza ku-download au ku-feed WiFi kwenye simu ukitoka eneo lenye WiFi unaenda kutumia WiFi uliyoi-feed kwenye simu hata kama utakuwa mbali na hiyo WiFi husika...?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.