Wasalaam wana wa Jehova.
Kuna tatizo linaendelea kuwa sugu katika jamii yetu. Kuna kitu kinaitwa masega kwenye exhaust ya magari na hiki kitu kina kazi maalumu katika mfumo wa gari, sijui kazi yake kubwa ni nini kwa maana mimi siyo mtaalam wa mambo ya magari.
Last week gari yangu ilikuwa...
Wasalaam wana wa Jehova. Kuna tatizo kubwa serikali inabidi iingilie kati ili iweze kuwanusuru watumishi wa kada ya ualimu hapa nchini.
Walimu wengi wamekuwa ni wahanga wa tatizo hili, last time kwenye group la WhatsApp la mtaani kwetu kuna mtu alituma kimakosa salary slip ya mtumishi mmoja...
Wasalaam wana wa Jehova.
Ilikuwa mwaka 2007 wakati nimemaliza kidato cha nne nakumbuka wakati huo tunajaza form maalumu za kuchagua vyuo vya kati na shule za Advanced level.
Kulikuwa na MWALIMU mmoja ambaye alikuwa ni rafiki wa familia pia wakati huo aliungana na wazazi wangu wakinitaka nijaze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.