Habari za Jioni wapendwa.
Ninaomba nakala Ya kitabu cha MATTHEW MULUMBI Part 2 YA mwandishi Patrick C.K.
Nimetafuta kila kona sijapata hivyo basi aliyebahatika kuwa nacho anisaidie na mimi hapa
Natanguliza shukrani zangu za dhati 🙏
Daah hii mada yako imenigusa sana nimeachana na madem zangu kadhaa kisa sigara nilianza nikiwa chuo japo sio mraibu wa pombe ila fegi ilikuwa hunambii kitu japo nina muda wa miaka 3 hv tangu navuta. Lkn no one noticed zaidi ya wale watu wangu wa karibu sana Nashukuru hata wazazi wangu...
Ningeweza kukwambia umpeleke pale KANTALAMBA BOYS High school iko sumbawanga mjini lakini kwa kuwa unataka karibu na DSM....lkn ni shule inayofanya vzr nanda za juu kusini ukitoa IYUNGA BOYS
Nilipokuwa mdogo nilitamani sana nije kuwa mwanajeshi ama polisi....lakini marehemu babu yangu alinambia upolisi ni kazi ya watu waliokosa akili
Saivi nimeanza kumwelewa....
R.I.P MZEE Jason
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.