Recent content by Kinyonga01

  1. Kinyonga01

    PostGE2025 Naomba niongee na vijana wa Tanzania, Gen-z

    Unadhani maridhiano yanaweza kuponya Taifa ikiwa upande mmoja haujaridhia.?
  2. Kinyonga01

    PostGE2025 TEC: Maandamano yaliyotokea nchini chanzo ni ukosefu wa demokrasia ya kweli na usalama, wasiojulikana, utekaji pamoja na kupotea na kuumizwa kwa watu

    Akili zako Akipewa Ndege Anaweza ruka kinyumenyume. Padre anahonga 39M. Then akimbie deni la 3m. Mnatufanya wapumbavu
  3. Kinyonga01

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mnataka waje malaika wacheze
  4. Kinyonga01

    Ninaomba kupata nakala ya riwaya ya Matthew Mulumbi sehemu ya 2 ya mwandishi Patrick C.K

    Habari za Jioni wapendwa. Ninaomba nakala Ya kitabu cha MATTHEW MULUMBI Part 2 YA mwandishi Patrick C.K. Nimetafuta kila kona sijapata hivyo basi aliyebahatika kuwa nacho anisaidie na mimi hapa Natanguliza shukrani zangu za dhati 🙏
  5. Kinyonga01

    Peter Msigwa kurudi CHADEMA Machi 23, 2025?

    Msaliti hasamehewi
  6. Kinyonga01

    Nimeacha pombe na sigara lakini napata taabu sana, sipati usingizi hadi usiku wa manane

    Daah hii mada yako imenigusa sana nimeachana na madem zangu kadhaa kisa sigara nilianza nikiwa chuo japo sio mraibu wa pombe ila fegi ilikuwa hunambii kitu japo nina muda wa miaka 3 hv tangu navuta. Lkn no one noticed zaidi ya wale watu wangu wa karibu sana Nashukuru hata wazazi wangu...
  7. Kinyonga01

    Barua ya wazi kwa kijana wa kiume (20's)

    Nikiwa mmoja wa hao vijana ninaunga mkono hoja nikiwa pande za kasulu
  8. Kinyonga01

    Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

    Ningeweza kukwambia umpeleke pale KANTALAMBA BOYS High school iko sumbawanga mjini lakini kwa kuwa unataka karibu na DSM....lkn ni shule inayofanya vzr nanda za juu kusini ukitoa IYUNGA BOYS
  9. Kinyonga01

    KERO Bodaboda wa Tanzania wameshindikana kwa tabia zao barabarani au wameendekezwa?

    Boda boda anaamini sehemu yeyote kichwa chake kinaweza penya basi hata pikipiki yake inapenya pia 🚮
  10. Kinyonga01

    Simba na magoli ya bahati na kichawi

    Chuo kipi wanatoa Degree za upumbavu kama wako? Au upumbavu wako ni kipaji umerithi?
  11. Kinyonga01

    Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

    Nilipokuwa mdogo nilitamani sana nije kuwa mwanajeshi ama polisi....lakini marehemu babu yangu alinambia upolisi ni kazi ya watu waliokosa akili Saivi nimeanza kumwelewa.... R.I.P MZEE Jason
  12. Kinyonga01

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wewe upumbavu ni kipaji chako Nilidhani pengine umerithi labda
Back
Top Bottom