Recent content by kintu

  1. kintu

    Utapeli wa wafanya Biashara wanaoagiza Bidhaa China Hasa Mwasiti na Biashara zake

    Kumekuwa na utitiri wa wafanya biashara wanao agiza bidhaa China kupitia Mitandao ya kijamii au kwa kuwa na ofisi hapa mjini Dar es salaam. Watu wengi wamekuwa wakidhurumiwa na wasijue wapi pa kuanzia maana unakuta magroup yao wamedunga hakuna vomment hivyo huwezi kuweka mchango au malalamiko...
  2. kintu

    PreGE2025 RC Chalamila atangaza uuzaji viwanja Mabwepande-Kinondoni

    Wavamizi wakati wana hati?je hizo hati zilitolewa na nani?na watu wamekuwa wakilipia hizo hati mpaka sasa leo wanaitwa wavamizi?! Viwanja vimeuzwa vyote ndani ya dakikoa moja?!
  3. kintu

    Atlas Schools: Ni kweli Mkurugenzi wake ameiweka Serikali mfukoni?

    Sasa mtu anasema alipeka kwa mshidani wake "Aliponda.."sasa ata ungekuwa wewe utamsifia mpizani wako ? Chief angalia records za ufaulu wa shule ndo kitu cha muhimu,nidhamu na freedom of mind ya watoto.Mengine majungu ya ushindani tu.
  4. kintu

    Je, umewahi kutapeliwa ukinunua gari mtandaoni, hasa Japan?

    Ni kweli inawezekana fake lakini nimekuwa mara nyingi natumia Tradecarview,sbt japan.beforwarding na mara chache hizo site za kampuni binafsi kama picknbuy24.com,everycar.jp etc. Mfano nilinuninua gari tradecarview kwenye kampuni moja tukaelewana nikalipa tena kupitia huduma yao ya paytrade na...
  5. kintu

    Je, umewahi kutapeliwa ukinunua gari mtandaoni, hasa Japan?

    Bank hawausiki na transactions au manunuzi unayoyfanya zaidi ya kutuma TT. Nikweli nimekumbana na changamoto za online transactions japo sijatapeliwa kwa asilimia 100. Nimekuwa nanunua magari kutoka japan tangu 2009,mara nyingi nimekuea nakutana na changamoto za hapa ja pale lakini pia kama...
  6. kintu

    Je, umewahi kutapeliwa ukinunua gari mtandaoni, hasa Japan?

    Vipi Japan ulipata msaada wowote?kuna taasisi au ubalozi au agency yoyote ilikusaidia? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kintu

    Je, umewahi kutapeliwa ukinunua gari mtandaoni, hasa Japan?

    Kujua hayo niliyo uliza itaifanya hii fulsa kuwa nzuri zaidi,hasa ukizingatia ukuaji wa technolojia na manunuzi kupitia njia za mitandao. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kintu

    Je, umewahi kutapeliwa ukinunua gari mtandaoni, hasa Japan?

    Mimi nimekuwa nikinunua magari mtandaoni kutoka Japan,lakini mara nyingi nimekuwa nikikutana na changamoto za hapa na pale na pia nina jamaa zangu na marafiki zangu wametapeliwa kwa njia tofauti tofauti au - Kubadilishiwa gari na kutumiwa gari hisiyo uliyochagua. - Kutuma hela baadae...
  9. kintu

    Dah! Wakuu, nahisi nimegongewa

    Duh hii ni shida Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kintu

    Wagombea uchaguzi jimbo la Chato enzi hizo

    Huyu jamaa wa nyuma yake ni nani?uje kukuta ni waziri
  11. kintu

    Straight Talk Africa na Shaka Ssali: Tundu Lissu jino kwa jino na Balozi Wilson Masilingi

    Ata wenye Kingamuzi cha Azam Chanel 143 NBS TV wanaonyesha Sent using Jamii Forums mobile app
  12. kintu

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Connecting dots..... Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kintu

    Baba yangu ni mkatili. Ananifukuza na sina pa kulalamika, nabaki na huzuni

    Jinga kabisa eti mtoto wa miaka 25!tena baba yako kodi amekupa ndogo kabisa ulitakiwa uanze kulipa ulipofikisha miaka 18.
  14. kintu

    TANAPA kuweni serious kidogo!!!!

    Nafikiri wewe ata kazi itakushinda ,kama watoto kwenda chuo wanatumia system za online ,mkopo wa elimu ya juu n.k ,jiongeze aisee siyo kila kitu kulalamika.
Back
Top Bottom