Sijui wengine Hua wanatapikwa au wanazaliwa? manake hii nchi inawatu wanafki kupindukia eti inachuki na rais aongee vya ajabu yeye limtu linasimama bbc iangaliwe kwa jicho kali fanyeni mazuri kama hamtapongezwa
Kwanza tungefaham ugaidi nn ndipo mengine yaendelee kwan kuna wkt Mandela aliwekwa ktk list ya magaidi nakuzuiwa kutodhuru mataifa ya USA UK na mengeneyo mpaka alipofikisha miaka 90 ndipo walipo mkaribisha London siku yake ya kuzaliwa
Bungeni kuna zaidi ya wabunge 350 jiulize ni wabunge wangapi huzungumza mpaka bunge linapoisha, acha upuuzi, wako wabunge mpaka miaka nitano inaisha hajasimama hata Mara tatu hawa ndio unawataka sio? Tambua kama hujawahi kukosea imaana hujawahi jaribu ama kuthubutu
Hembu jiulize hivi, gambo angempa Lema nafasi ya kuzungumza na wafiwa nn kingefuata ama kuharibika pili gambo asingebadilisha kutoka uwanja wa mashujaa mpaka majengo pangeharibika nn? Kuna wkt nawaza hata MTU kua gaidi ni sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.