Recent content by Kinkunti El Perdedo

  1. Kinkunti El Perdedo

    Dkt. Mpango: Lukuvi aliwahi kuniambia Mdogo wangu, tangu Uhuru hajawahi kupatikaa waziri wa fedha bahili kama wewe

    Nasikia alikuwa analipa vilabu vya pombe ya Ulanzi huko jimboni kwake.
  2. Kinkunti El Perdedo

    Tungeanza kufanya slums upgrade maeneo ya uswazi Tanzania

    Ogopa kundi la wajinga kufurahia kuishi kwenye slums huku wakiona ni sehemu ya maisha au utamaduni. Mtu wa aina hii hata akienda maeneo yaliyo planned mawazo yake huwa ni kuona wapi ataweka Genge la nyanya au kibanda Cha chips.
  3. Kinkunti El Perdedo

    DOKEZO Vibanda Holela Ubungo/Kijazi interchange

    Dar inapaswa kusafishwa Kwa nguvu
  4. Kinkunti El Perdedo

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Ndugu wengi ni vichomi aise,ukipata mishe funga madirisha.
  5. Kinkunti El Perdedo

    Kwanini Tanzania inapokea watalii milioni 2 tu?

    Utalii ni zaidi ya kuona wanyama.Ulo Pattaya Thailand watalii wanamiminika kama maji.
  6. Kinkunti El Perdedo

    Odero: Hakuna kikao cha CHADEMA kilichoazimia kukataa Maridhiano

    Toka Lissu na Heche wachukue nafasi pale CDM ,ngozi za wasaliti zimekuwa uchi.
  7. Kinkunti El Perdedo

    South Africa is now on fire ! A raging fire destroyed the Botha Sigcau Building in Mthatha !

    Serikali za Afrika niza ajabu sana hata maintenance ya majengo ni ngumu kufanya
  8. Kinkunti El Perdedo

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Si,wanasema CDM imeshakufa ?
  9. Kinkunti El Perdedo

    KERO Nyumba nyingi jijini Mbeya ziko chini ya kiwango na mpangilio wa jiji ni mbovu. Mamlaka hamuoni?

    Mbeya haina hadhi ya kuwa Jiji,Bali slums village.Ogopa sana kundi la wajinga kufurahia kuishi kwenye slums.
Back
Top Bottom