Recent content by Kinkunti El Perdedo

  1. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Sarakasi za usafiri wa umma Dar ni ishara tulivyo na viongozi wenye upeo mdogo sana.

    Mara kadhaa tumejadili humu kwamba Jiji la Dar es salaam kuwa na main terminal moja ya ma-bus ni uongo wa mchana kweupe.
  2. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Usiwe fundi garage kupokea wanawake walioharibika huko.

    Duuu! Ngoja waje tusome feedback
  3. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    Mkuu MALCOM LUMUMBA kasha wahi sema humu miongoni mwa taasisi zilizo ifikisha hili taifa hapa ilipo ni taasisi hizi mbili Ukristo na Uislam. Hapo wanacho angalia ni maslahi tu na sio ustawi wa umma.
  4. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Alijidai fundi jikoni, akaaibika mbele ya wageni wake. Umewahi pika chakula kibaya?

    Sanaa ya upishi ni kubwa mno sio jambo la kila mtu Mwachiluwi
  5. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Matusi kwa Wasomi ni Ushindi au Chuki zilizozikwa kwa muda mrefu?

    Kilaza ni kilaza na mbaya ukilaza haujifichi
  6. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    China inastahili pongezi za dhati kwa hatua kubwa ya kimageuzi katika taifa lao.
  7. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Ndio hivyo tena, tumeikosa. Dangote

    Nauliza tu Dangote alikataa ile 10% ya uchochoroni nini ?
  8. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    F.Fanon aliwahi kuandika kwamba hakuna tofauti kati mkoloni mweupe na mkoloni mweusi,kilicho badilika ilikuwa rangi ya ngozi za miili tu. Afrika ina hitaji vuguvugu la pili la mageuzi.
  9. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Wajumbe wa Tume kutoka nje na hali ya nchi zao

    Pesa ya Umma inapelekwa kwenye matumizi ya ajabu sana.
  10. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Hongera Dr. Samia Suluhu Hassan kwa mkataba wa ujenzi wa Petroleum Refinary Tanga

    Mwaka 2024 nilikwenda Mwanza nikakuta mradi wa SGR umesimama majuzi nimerudi tena Mwanza mradi uko vile vile RIP JPM
  11. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Hongera Dr. Samia Suluhu Hassan kwa mkataba wa ujenzi wa Petroleum Refinary Tanga

    Ujenzi wa mradi unaanza lini na utakwisha lini ?
  12. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Karl Marx alikuwa sahihi kabisa kusema dini ni kama kilevi.
  13. Kinkunti El Perdedo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Natangaza kuidharau Tume mpya iliyoundwa kuchunguza ya Octoba 29, Wananchi niungeni mkono

    Vyama vya ukombozi vinacheza mchezo hatari sana wa kulindana.
Back
Top Bottom