Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,595
- 14,055
Hakika jambo hili ni neema kwao lakini kwetu itakuwa hatari mno.
Hadi sasa, hakuna nishati ya mafuta au gesi asilia iliyogunduliwa rasmi kwa ajili ya biashara visiwani Zanzibar, ingawa tafiti za kijiolojia zinaonyesha kuna viashiria vikubwa sana vya kuwepo kwa rasilimali hizo katika bahari yake.Hureeeeeeeeey. Basi sasa wauvunje tu huo muungano wao haramu
Nikishakua na mijihela hata mtoto wa Sultani atanitakaHuko hutapata wa kusaga kama hapa
Lamomy unamuona rafiki yako!Nikishakua na mijihela hata mtoto wa Sultani atanitaka
Hii ingekuja kabla ya tamasha la hivi majuzi basi kuna mtu angepongezwa balaaHili si jambo la kuchekesha pekee. Ni aibu kwa taasisi za umma kutokuwa na kumbukumbu za historia ya eneo maarufu kiasi hiki. Daraja hilo linaweza kuwa sehemu muhimu ya urithi wetu na ushahidi wa namna Stone Town ilivyokuwa imetenganishwa na Ngambo kabla ya kufanyika reclamation.
Aliyebuni hili sijui kichwani yupoje? Wacha wachoronge waje zamisha kisiwa chenyewe!,bora wachoronge baharini kuliko kutekenya kisiwa!😃😃😃 JOKESYa TANGANYIKA ni ya wote ya Zanzibar ni yao
Wabinafsi sana wale watuYa TANGANYIKA ni ya wote ya Zanzibar ni yao