Recent content by KINGSLEE

  1. KINGSLEE

    Lijue jambo hili ambalo shetani analificha, linalofanya nchi hizi 5 kuwa na viwango vya juu vya amani na furaha

    Upo vizuri mtoa mada hongera sana kwa Ufafanuzi juu ya nchi hizo kuwa na alama ya Msalaba, Sina shaka na hilo. Ukiingia kiimana umesema Msalaba unamaanisha kuyaenzi maadili ya Kikristo ambayo yanasema Yesu alisulubiwa na kufa msalabani kwa ajili ya dhambi za wanadamu ili wapte kuokolewa na...
  2. KINGSLEE

    Nikiwa kwenye maandalizi ya tendo, manii zinatoka na hamu ya kuendelea na tendo inakata kabisa

    Mmh! Sitaki lazima uniandae kwanza nirojeke ndipo uingize? Mweh! Sitak kuchubuka mm usije ukanipa maradhi
  3. KINGSLEE

    Hatimaye RunX imeingia Mwanza

    WW UNATAKA TULE ELA YAKE AKOSE ELA YA MAFUTA KURUD DAR:D:D
  4. KINGSLEE

    Naomba kupata review ya perfomance ya pikipiki ya sinoray cc180-18

    we umeambiwaje hapo juu? tumia akili siyo kwamba hizo pikpik za kampuni zingine ha kuziona amesema tujikite kwenye Sinoray tuh...
  5. KINGSLEE

    Mbona watu ni kama wamezikimbia Toyota Wish, ni issue ilio technical au ni trend tu

    Kama ishu ni idadi ya watu saba ni bora ninunuwe Mitsubish Outlander ya 2010/ Vanguard (7 sit)maana nitaweza kupita maeneo yenye ukorofi kidogo kuliko Wish.
  6. KINGSLEE

    David Kafulila: Msitishike na kupanda au kushuka kwa shilling hata dola ya Marekani ni sarafu ya 10 lakini Marekani ndio kinara wa uchumi wa dunia

    mimi najikita zaid kwenye kilimo. Yani hapa chakufanya ni Practical Implemented/ itungwe sheria/mswada wa kudiscourage kuuza Raw-material nje ya nchi( refer. Magufuli alikataa kuuza mahindi nje badala yake tuuze unga) badala yake tuuze FINAL PRODUCTS kupitia sheria hii tuweke mazingira rafiki (...
  7. KINGSLEE

    Kutumia Spare Parts Feki? Unacheza na Usalama wa Gari Lako

    SHOGA YANGU AMNAMILIKI DUALIS NA ANATAKA KUWEKA TAA ZA BUSTA KWENYE GARI YAKE NA KUFUNGA ANDROID AFURAHIE MAISHA. NAFKIR UZI HUU UTAMFAA KABISA ;) ;)
  8. KINGSLEE

    Ufalme wa Caterpillar, Komatsu, Volvo, JCB na Hitachi umeanguka. Kwenye heavy machines Mchina kapindua tena meza

    sory picha ya hizo gari/mashine zao iko wapi tulinganishe na hizo bidhaa za zamani ili tuone ubora wa Mchina Vs Mjapan kwa heavy machines
  9. KINGSLEE

    Baada ya kuanza kuishi na mwanamke ghetto nimeanza kupendwa na wanawake wengine

    Dah! Jirani ndio umeamua kuja kunisema huku;););)
  10. KINGSLEE

    USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

    WACHA MVUA INYESHE TUONE PANAPOVUJA:D:D:D:D:D
  11. KINGSLEE

    Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

    hahahhaaa yani kuna vijana wa hovyo kabisa. wanawake tupo wao wanapiga punyeto
  12. KINGSLEE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kanichania huyu bwege mkeka wangu wa 10m :D :D :D :D
  13. KINGSLEE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    :D:D:D:D kanichania huyu bwege mkeka wangu wa 10m
  14. KINGSLEE

    Kwanini waimbaji wa injili wa kike hawana ndoa

    Kama hao ndio viongozi wetu wanaotukumbusha mambo ya Iman kwa kuimba nyimbo za dini na hali yakuwa hawana ndoa Kwanini mm niingie kwenye Ndoa?
Back
Top Bottom