Recent content by Kingmaja

  1. Kingmaja

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

    Kumbe ni tatizo la wengi
  2. Kingmaja

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

    Nakunywa ila mara mojamoja sana
  3. Kingmaja

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

    Dah shukran ndg angu
  4. Kingmaja

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

    Wakuu salam, (Kingmaja) Naombeni ushauri wenu utanifaa sana maana niko kwenye wakati mgumu. Nina tatizo la kuchelewa au kutofika kabisa kileleni ninaposhiriki mapenzi. Ndani ya wiki mbili hizi nimegegeda Mara tatu lakini hakuna wazungu kabisa mpaka bi dada anagoma kuendelea na show. Siku ya...
  5. Kingmaja

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

    Wakuu salam, Naombeni ushauri wenu utanifaa sana maana niko kwenye wakati mgumu. Nina tatizo la kuchelewa au kutofika kabisa kileleni ninaposhiriki mapenzi. Ndani ya wiki mbili hizi nimegegeda Mara tatu lakini hakuna wazungu kabisa mpaka bi dada anagoma kuendelea na show. Siku ya kwanza...
  6. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya 23 wafariki ndani ya saa 24 kwa Corona, Jumla ya waliokufa ni zaidi ya 1,200

    Wakenya tuko nateseka na corona imebamba kila kona please dua zenyu ni muhimu mazee. Tuko na viongozi wajinga sana huku,bora yenyu Tanzania nakuja chukua citizenship mazee.
  7. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana kuisaliti nchi yetu Kenya kwa Shilingi 500/= tu

    Yaibuka Vijana Waliotumika Kupanga Ghasia Za Kenol Waliahidiwa Sh500 Na. Majaliwa Abdulkadli Amran VIJANA waliotumiwa na wanasiasa wa mirengo ya Tangatanga na Kieleweke mjini Kenol, Kaunti ya Murang’a Jumapili iliyopita walikuwa wameahidiwa kulipwa kati ya Sh500 na Sh1,000, wapelelezi...
  8. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MIKOPO tele iliyochukuliwa na serikali kwa miaka michache iliyopita, sasa inaweka Kenya katika hatari kubwa ya kuzama kiuchumi kupitwa na Tanzania

    Na Majaliwa Abdulkadli Amran MIKOPO tele iliyochukuliwa na serikali kwa miaka michache iliyopita, sasa inaweka Kenya katika hatari kubwa ya kuzama kiuchumi kupitwa na Tanzania. Wakati huu wa janga la corona, Kenya ni miongoni mwa mataifa yanayoathirika sana kiuchumi. Kwa msingi huu, wataalamu...
  9. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya ni nchi ya kidikteta; Katiba inasaidia nini?

    Oct 03, 2020 UTEUZI WA WANAJESHI SERIKALINI WAZUA TAHARUKI HATUA ya Rais Uhuru Kenyatta kukabidhi wanajeshi usimamizi wa idara na mashirika ya kiraia imezua hofu ya kuchochea utawala wa kidikteta nchini. Lakini kwa upande mwingine kuna wachanganuzi wanaounga mkono hatua hiyo wakisema kutumia...
  10. Kingmaja

    JamiiForums Tanzania Rais Lazarus Chakwera wa Malawi kuzuru Tanzania

    Jamani akuje na huku kwetu kenyi wishi niko Mtanzania
  11. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya tutabadilika lini?

    Polisi Wazima Mkutano Wa Mudavadi Mjini Mbale NA DERRICK LUVEGA KINARA wa chama cha Amani National Congress (ANC) Bw Musalia Mudavadi alilazimika kuhutubia wafuasi wake kando ya barabara mjini Mbale, Kaunti ya Vihiga baada ya polisi kufunga uwanja wa Idavaga ambapo mkutano wa kisiasa wa vijana...
  12. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sisi Wakenya bado sana

    Niko nasema karibu Mtwapa Mombasa Kenya tunajisifu ujinga jinga tu huna hata doh
  13. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sisi Wakenya bado sana

    Mi niko mkenya kweli karibu Mombasa joh
  14. Kingmaja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sisi Wakenya bado sana

    Sisi tupo Wakenya ni masikini sana nashangaa sana Wakenya wezangu humu wako wanajisifia tajiri kumbe hamuna kitu. Kwenye fact acha tuseme kweli toka ashike power Magufuli naona TANZANIA iko mbele yetu na soon itatuacha mbali. I wish Kenya tuko na Magufuli. All de best Tanzania na leaders...
  15. Kingmaja

    JamiiForums Tanzania Viganja vya mikono na miguu kuwa vya baridi

    Hili tatizo linasababushwa na nini asee MziziMkavu
Back
Top Bottom