Recent content by kingkunta3

  1. kingkunta3

    Home job kwa cartoon artist

    nitkutafuta tufanye kazi
  2. kingkunta3

    Subaru forester vs suzuki eskudo vs nissan dualis

    dualis nzuri afu ipo ki leo leo tofauti na escudo...ila all in all escudo mnyama
  3. kingkunta3

    Imepata ajali kwa wale wanaochinja magari karibuni

    Sijakupata uzuri mtoa mada yani mil 2 kwa yote mawil kama jinsi yananyoonekana au...
  4. kingkunta3

    Nahitaji Carburetor Na fuel Pump ya Pikipiki.

    Ni muhimu sana kufanya survey ya vyombo vya motor na upatikanaji wa spare parts kabla hujanunua huku bongo ni tabu sana unless uwe na mbavu ya kuagiza nayo ni gharama
  5. kingkunta3

    Usicheze na Mwanaume

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24] [emoji24] .....nmeipend,a man always will be a man.
  6. kingkunta3

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    *------------------*
  7. kingkunta3

    Shajara ya mhunzi: Tusifukue makaburi ya zamani huku tukisakafia mapya

    Sasa naelewa pasipo elekezwa,naweza simama bila nguzo kwani mi ni kiungo.
  8. kingkunta3

    Shajara ya mhunzi: Tusifukue makaburi ya zamani huku tukisakafia mapya

    Mmmh....najihisi kama niko kwenye nchi ya ahadi.
  9. kingkunta3

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Mambo ya ajbu kwel hay nmescroll san up and down cha ajabu sijamwona twin turbo wangu....uko wapi????
  10. kingkunta3

    PANTECH VEGA A900L

    Ni kweli kwamba hakuna maujanja supplier humu ndani ama ubinafsi wa fikra na mawazo.
  11. kingkunta3

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Ungesubr cku iishe ndo ukatok hum ndan cmwon pach wangu.
  12. kingkunta3

    Nimemuona kipendacho roho JF

    Mwaka 2014 mpaka leo bado unakamba mguuni,utakuwa mjanja lini sasa mbana kama mjini muda mrefu lakini bado we ni jogoo la shamba. king Kunt@
Back
Top Bottom