Recent content by KINGKOMANDO

  1. KINGKOMANDO

    Shinyanga - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    kituo kimoja cha kata ya ibadakuli.+ urais magufuri 130. Lowasa 81 ubunge. Katambi wa chadema 114 masele ccm 100.
  2. KINGKOMANDO

    Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

    Madiwani wawili kupitia chama cha chadema ktk manispaa ya shinyanga wameamua kurejea katika chama chao huku wanachama wakiwa hawawataki wakidai kipindi wana hama walikidhalilisha chama, walikisaliti na bila kuona aibu walichoma na gwanda za chadema. sasa wanafuata nini? Walipopewa fursa ya...
  3. KINGKOMANDO

    Kwa hali hii tutaendelea kutawaliwa na CCM

    Ni kweli fuso. Ila unaonaje hayo mambo manne watu hawana? Chamsingi tujipange tuweze kuwachomoa ccm madarakani.
  4. KINGKOMANDO

    Kwa hali hii tutaendelea kutawaliwa na CCM

    Siku zote nikiingia jamvini na kuta hoja zimetolewa. Ila ukiangalia wachangiaji wengi wanachangia kwa:- 1. Matusi. Hutukana badala ya kukosoa na kuelimisha. 2. Udini. Wengi hutusi, kudhihaki,kukejeli dini fulani hali ya kuwa hajui hata kama unamlenga fulani ukisha gusa imani fulani umesha...
  5. KINGKOMANDO

    Majambazi yateka Malori matatu Nzega, madereva waumizwa!

    Barabara ya kutoka dar kwenda mwanza. Kati kati ya nzega na igunga.
  6. KINGKOMANDO

    Majambazi yateka Malori matatu Nzega, madereva waumizwa!

    Madereva wa magari yanayosafilisha mizigo wamegoma na kupanga magari yao barabarani na kupelekea abiria wa mabasi kuwepo bila matarajio ya kuondoka. Madereva hao wamefikia hatua hiyo baada ya jana mida ya saa 2 usiku kutekwa, kunyang'anywa pesa, kumtoboa macho dereva mmoja, kumkata mguu mmoja...
  7. KINGKOMANDO

    Kufukuliwa kwa kaburi na kuvuliwa sanda marehemu

    Imekuwepo kuripotiwa vibaya tukio hilo na baadhi ya vyombo vya habari mf. RFA tar 17 ktk kipindi cha matukio waneripoti kua mwili wa marehem umekutwa juu ya kaburi. Ukweli ni huu hapa '' tar 12 usiku wa kuamkia tar 13 kijana JUMA UHURU mauti yalimkuta ktk hospitali ya mkoa wa KIGOMA...
  8. KINGKOMANDO

    Kufukuliwa kaburi na kuchukuliwa sanda [UFAFANUZI]

    Waandishi wa habari muwe mnafika eneo la tukio sio kupiga sim tu.
  9. KINGKOMANDO

    Kufukuliwa kaburi na kuchukuliwa sanda [UFAFANUZI]

    Imekuwepo kuripotiwa vibaya tukio hilo na baadhi ya vyombo vya habari mf. RFA tar 17 ktk kipindi cha matukio waneripoti kua mwili wa marehem umekutwa juu ya kaburi. Ukweli ni huu hapa '' tar 12 usiku wa kuamkia tar 13 kijana JUMA UHURU mauti yalimkuta ktk hospitali ya mkoa wa KIGOMA Maweni...
  10. KINGKOMANDO

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    Leo umekua hauna point. Unamaanisha kati ya Zitto na Padri Silaa nani mwenye kadi ya CCM? Tatizo lenu mnashabikia tu.
  11. KINGKOMANDO

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    Sio kweli. Yaani aliye ua na aliye sema uongo iwe sawa? Ndo maana kuna ya kwanza mpaka ya mwisho kutokana na uzito.
  12. KINGKOMANDO

    HESLB: tuliokosa mikopo kesho(ijumaa) tukutane ofisi zao mpaka kieleweke..

    Jamani mtukumbuke na sisi tusio dar mtuandikie majina. Namba yangu ni s0225.0022.2003.
  13. KINGKOMANDO

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Inamaana bara hakuna waisilamu! Au hakuna shekh aliyekwisha pata hayo maji makali? Mbona hatukusema zenji si salama kwa waislamu? Tumia akili wewe, sio uwe unachangia kama unakunya kaharo!
  14. KINGKOMANDO

    Katibu Mkuu wa CCM, Kinana ahitimisha ziara yake ya kuimarisha CCM Shinyanga kwa kishindo

    Ama kweli CCM ni watu wa DILI FEKI. Nasema haya kwa ushahidi huu:- 1. Pikipiki zilizo gawanywa jana ni mbovu. Jana hiyo hiyo zilianza kufikishwa kwa mafundi mara kabyureta mara pancha. Mf. Jirani ya staff bucha kuna mafundi pikipiki, hapo alikuja kada mmoja huku pikipiki yake ikisukumwa kwa...
  15. KINGKOMANDO

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo shinyanga manispaa shule ya sekondari. Natafuta mwl wa morogoro manispaa tubadili nafasi.
Back
Top Bottom