Recent content by kingiti

  1. kingiti

    Umuhimu wa Tv Guard na Stabilizer katika matumizi ya umeme majumbani

    Huu uzi kiboko, hauchoshi. Asante kwako JF Expert Member
  2. kingiti

    SoC03 Responded Kitambulisho cha Taifa kiboreshwe ili kuendana na ulimwengu wa kidigitali

    🤝Naunga mkono hoja/andiko hili a hundred percent
  3. kingiti

    Geita: Auawa kwa kupigwa risasi wakati akichanja kuni kwenye hifadhi

    Hivi haya maneno yana maana moja? Kuokota na kuchanja kuni?
  4. kingiti

    Rais Samia: Walioathirika na mafuriko Hanang ni Waathirika sio Wahanga

    Hili neno limenipa ukakasi sana, waandishi habari wengi Kiswahili kinawapita kushoto. Asante Mhe. Rais kwa ufafanuzi
  5. kingiti

    Katibu mkuu CWT agoma kurudi Temeke kufundisha

    Some people are smart; inawezekana jamaa alishakusanya kimyakimya alichovuna huko CTW saa hii yupo zake Boso anaendeleza maisha yake kwa utulivuuu. Najaribu kuwaza tu
  6. kingiti

    Katibu mkuu CWT agoma kurudi Temeke kufundisha

    Dinna aliapishwa na yupo ofisini kama DC kule Kigoma
  7. kingiti

    Mwalimu Maganga, Katibu Mkuu CWT aliyekataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya arudishwa kwenye Ualimu

    Ukishakuwa mtumishi wa umma unaridhia miiko ya kiutumishi (codes of ethics) na unapaswa kuiishi, huwezi kuishi utakavyo na huwezi kuivimbia serikali ambayo hiyo hiyo ndiyo inakupa mkate. Hivi kwa busara ya kawaida tu, unamtuma mwanao kazi ya nyumbani afanye anakukatalia halafu na majirani zako...
Back
Top Bottom