Eti hauwezi kurudiana nae lakini naomba yake umeshindwa kufuta ,,hivi uko serious kweli na moyo wako,hiyo sitaki nataka hiyo itakugharimu ,,kula kitu roho inapenda bwana
Naona huy mvivu kitandani anaweza kuwa mke Bora mana mana mapenzi mtu hujifunza mfundishe staili unazopenda na umwambie unapenda akufanyie nn mwapo six by six ,lakn mwisho wa siku
Chagua mwenye sifa nying unazopenda mwanamke wa maisha yako awe nayo,kumbuka usiache ulichopenda maishani ghafla tu...
Shenzi sana wewe,,yani had hapo bado hujaona thaman yake,pamoja na elimu uliokuwa nayo lakn ulikosa kazi kijana wa watu kajitolea kakutafutia kaz ulivyo na roho mbaya sa hivi umeanza kumjadili kama anafaa au hafai hivi unakumbuka kweli ulipotoka ,,,namaliza kW kusema tena "" shenzi kabisaaaa""
Waweza kuolewa na mwanaume wa ndoto yako lakn ghafla bin vuuuuuuu.....no money tena msela ndii kafirisika nafkri ndoto zako zitakuwa zimeishia apo na inabd ulale tena uote mwenye ela mwngine...
Huyu jamaa alaaniwe zaidi ya shetani...lakn kweli huyu Dada kashindwa kufanya jambo kudai haki yake?..yani hii inasikitisha tena inasikitisha San.. Ningekuomba mtoa Uzi kwa vile we unamjua vzr jtaidi sana utoe msaada kw huyo dada jambo akomboe jasho lake..
Wa kumpenda ni mama yangu tu...Mi cku izi tangu niwe na akili timamu sihangaiki kumpenda mwanamke mwingine kisa atanipa K..nikiktamani naomba papuchi napiga napitaa iv..ukininyima naenda naangalia mfupa mwingine ulonona ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.