Recent content by Kingfish23

  1. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Waangalia mpira bar wana kelele sana

    Inategemea na sehemu kuna maeneo watu wanashangilia kistaarabu ingawa bei za vinywaji zinakuwa zimechangamka sana
  2. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Hii hapa Television ya kumiliki kulingana na kipato chako

    Star X nikonayo miaka 5 sasa
  3. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mbowe kupata uteuzi DC Mbozi

    Bora uteuliwe kuwa DED kuliko DC kama una D2 utanielewa
  4. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Hivi Ukitoa Daraja la JPM Kigongo-Busisi ,Mwanza Inabakiwa na Kitu gani Kingine?

    Yule samaki anayerusha maji
  5. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania TIC:Hii hapa Mikoa 10 Iliyoongoza Kuvutia Miradi Mingi ya Uwekezaji Tanzania mwaka 2024.

    Sio miji ilyovutia sema miji iliyopendelewa kwa kupelekewa miradi
  6. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Dodoma tatizo watu binafsi hawawekezi sana kwenye kujenga majengo marefu tofauti na Dar,Mwanza na Arusha
  7. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Mbona watu hawajadili kuhusu kumiliki ndege, helikopta au meli na boti

    Ukienda Dar au Mwanza kuna Yatch club utakuta boat za matajiri
  8. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Nimetoka mwanza Desemba 2024 kwa kweli CBD hususan mitaa ya lumumba,Karuta, Pamba na Rwagasore kuna majengo marefu mengi yanajengwa nadhani shida itakuja kuwa parking watu ni wengi na magari ni mengi sana Dodoma CBD inajengeka lakini si kwa kasi kama Mwanza nadhani tatizo Dodoma wanategemea...
  9. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

    Mkoa wa Tabora naona unakaribia wote unakarbia kumilikiwa na wasukuma ingawa wanyamwezi na wasukuma ni ndugu. Nimepita Katavi,Kigoma,Lindi na Wilaya ya Tunduru Ruvuma napo muda si mrefu patakuwa na idadi kubwa ya Wasukuma
  10. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania App ya Dstv stream ina tatizo au ni simu yangu tu?!

    Hata kwangu tatizo hili lipo
  11. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Sikutegemea kama Mtwara ina fursa kiasi hiki

    Wengi hawajawahi kufika Mtwara na wanachanganya Lindi na Mtwara. Mji wa Lindi kwa kweli haujachagangamka ila Mtwara nadhani ni Manispaa inayokuwa kwa kasi ulinganisha na baadhi ya Manispaa tena hapo baada ya shughuli za gesi kukimbiziwa Dar. Kama vile viwanda vilinvyotumia gesi vingejengwa...
  12. Kingfish23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cha asubuhi huwa ni kitamu!

    Kashachangamsha damu mwenzetu
  13. Kingfish23

    JamiiForums Tanzania Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma yageuka kuwa Gofu. Ni muendelezo wa miradi ya kukurupuka ya wakati ule

    Tangu mabasi kuanza kusafiri massage 24 stendi nyingi zimekosa uchangamfu abiria wengi wanasafiri usiku kupunguza gharama
Back
Top Bottom