Usitupange wewe sisi hatuna akilibkama zako, ben pol kafanya unanga, kwani kutekwa hadi uwe uchi na upakwe wese? Au wimbo unasema alitekwa kisha akabakwa?,,,,....tumia akili sio ushabiki na mihemko
Mkuu umejitahidi sana kutia na kiingereza inaonesha umesoma na elimu imekufanya uwe critical thinker ila point yako ya msingi sijaiona hasa kwenye aya ya mwisho umelalamika tu, huyu mtu anaebakwa si kuna sheria za kumlinda? Maana yangu kubwa kwamba aliyepewa mimba kwa kubakwa na akithibitika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.