Mimi ni mdau ambaye natumia NMB Sandbox na nimeona nishiriki kwenye hii thread kushare na wewe kwa undani taarifa zaidi kuhusu huu mfumo.
Naomba kwa kuanza nitoe ufafanuzi jinsi mfumo unavyofanya kazi na kisha tuangalie wewe binafsi unakwama wapi na ikiwezekana nikusaidie
Kwa nilivyoelewa...
Je unajua mwaka 2010 wapiga kura 42% ndio wanadaiwa kupiga kura?. Je ni kweli 58% ya wapiga kura hakwenda vituoni siku hiyo? Na unapozungumzia mafuriko usiigemee chama
#copyRaiaMwema
Kuhusu suala la shilingi milioni 50 kwa kila kijiji, Makamba alisema fedha hizo zitatolewa katika kipindi cha miaka hiyo mitano na zitakuwa za mzunguko ili kusaidia watu wengi zaidi kufaidika. - See more at: Raia Mwema - Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji...
Mgombea Wa ukawa anaweza kushinda kwa kupata kura asilimia 52 zidi ya asilimia 46 ya mgombea Wa ccm na asilimia mbili watapata wengine kwenye uchaguzi mwaka huu 25 October.
Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Afrika
nilikuwa nafikilia itengenezwe tovuti ambayo mawakala wa vyama vyote watapata fulsa ya kupost matokeo ya kila kituo pale wanapomaliza kuhesabu kituo. hiyo tovuti iweze kuzijumlisha kura za kila kituo za udiwani,ubunge na uraisi na kutoa matokeo ambayo si rasmi kadri kula zinapo hesabiwa...
Zima komputa yako wakati unaiwasha bonyesha f8 kabla haija boot. Kisha isikilizie kama sekunde kumi hivi kisha chagua save model kaka nipe majibu. Kama ikiboot kabla ya hizo sekunde kumi ujue ni hardware problem
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.