Recent content by kingaz

  1. kingaz

    Avril; Mwanamuziki wa kike mwenye mvuto Afrika Mashariki

    Mbona Shilole mzuri kuliko huyo mwanamke,sema labda kwa Wakenya bongo atakimbizwa sana!
  2. kingaz

    Rais Mugabe asema atagombea urais hata akiwa marehemu

    Hata kama kaitoa mbali Zimbabwe....sasa anataka afie Ikulu? MTU hata kutembea hawezi!
  3. kingaz

    Kifurushi cha mtandao wa Tigo kiitwacho halichachi

    Tatizo Airtel hawana 4G
  4. kingaz

    Kifurushi cha mtandao wa Tigo kiitwacho halichachi

    Airtel unapata dk 100 kwa wiki ?kwa sh 5000 mitandao yote?
  5. kingaz

    Kifurushi cha mtandao wa Tigo kiitwacho halichachi

    Nunua laini ya Tigo ya chuo 1500 dk 130 tigo to Tigo Meseji za kutosha na 1GB kwa wiki
  6. kingaz

    Serikali imevifuta Vituo vyote vya huduma za Afya ya VVU na UKIMWI kwa watu wa makundi maalumu

    Tuendelee tu tutasikia mengi na hii is just a beginning...just a trailer movie bado!
  7. kingaz

    Nina wasiwasi 99% kuwa Diamond na Zari wanatudanganya

    Ndo maana mvua hazinyeshi
  8. kingaz

    UNYAMA: Mtanzania asimulia unyama waliyofanyiwa Msumbiji

    Tatizo ni kubwa Mozambique wale jamaa ubinadamu hakuna nashangaa sisi wabongo tunavyojipendekeza kwao,wana roho mbaya sana !
  9. kingaz

    Mama wa uhamiaji acharuka

    Wakiondolewa wahamiaji haramu wabongo wengi watapata ajira viwandani
  10. kingaz

    Rais Magufuli: I wish I could be IGP; Ni kuhusu wale wanakwaya pale central

    Kweli maana sasa ni hatari...ukijichanganya imekula kwako
  11. kingaz

    Bei za mabasi

    Jenga Nyumba iwe Dar,Mbeya,Mwanza,Arusha ama Mtwara kwa hizo pesa unaweza pata kodi mil 2 hadi 3 kila mwezi na unaweza kopa benki hata mil 100 unapewa hizo ndo assets utakula hadi utazeeka watoto watasoma vizuri,hutapata presha na utakuwa na amani moyoni mwako,magari utakufa siku si zako!
  12. kingaz

    Mabinti sasa wako tayari kwa ndoa za mkopo

    Ndoa kitu kingine....wasomi wanaoa wasiosoma,lazima utulie kwenye kuoa ukijichanganya imekula kwako sisi wakristo hadi kifo kiwatenganishe!
Back
Top Bottom