Hilo hakuna mtu analopinga...Watanzania wapo wengi sana (makumi kwa maelfu) Msumbiji wanaingia bila vibali kuchimba madini na kuvuna mbao kupitia daraja la Mtambaswala na kingo za mto Ruvuma. Hakuna haja ya kulialia tuwaelimishe watu wetu wawe na vibali muhimu.
[/QUOTE]Sahihisho: Watanzania waishio nchini Msumbiji KINYUME NA SHERIA wapo katika wakati mgumu kutokana na kufukuzwa kwa nguvu.Watanzania waishio nchini Msumbiji wapo katika wakati mgumu kutokana na kufukuzwa kwa nguvu
Unadha tz ni israel, uingereza au marekani? bongo haina taimu wala upendo na wananchi wake walioko nje, ndio maana hata watuhumiwa wa unga amesema wanyongwe tu.Serikali itume ndege kuokoa rasmali watu yetu mapema tutapoteza ndugu zetu wakati huo ikiangalia chanzo cha kufukuzwa na kuchukua hatua stahiki.
We ni Mtanzania kweli..!?Nimesikia Chuo Frain Iv Na Wao Wameanza Kuwa Bagua Wasumbiji
jino kwa jino tu hapa tuanze msako wa kuwakamata wa mozambique tulipize kisasi hakuna namna tena
Even if sometime we need to apply darkness to darkness, let them know how we are.Darkness cannot drive out darkness, only light can do that,
Hate cannot drive out hate, only love can do that.