Kuna watu wanahitaji therapy aisee. Zungumza nae na ujue kwa nini anafanya hivyo, na alianzaje hako katabia. Kama anahitaji msaada wa wataalam msaidie.
Kuna watu very smart maofisini na wana katabia ka kupiga search. Inasikitisha kweli.
Poleni sana. Kwa sababu shida imempata zaidi baada ya kwenda hospitali, angerudi kule kule watajua namna ya kushughulikia masumbufu yatokanayo na vipimo.
Kila la kheri.
Poleni sana. Kwa sababu shida imempata zaidi baada ya kwenda hospitali, angerudi kule kule watajua namna ya kushughulikia masumbufu yatokanayo na vipimo.
Kila la kheri.
Huwa naona ajabu sana ndugu watu wazima wakiishi pamoja. Mtafutieni ajira hata kama kibarua na mumpangishie nyumba akaishi na mwanae. Mlipieni kodi hata ya miezi 6.
Halafu na wewe tafuta kazi. Hizi mambo mnashinda mkipigiana story za utotoni mtachoka sana.
Sasa wewe, si tulishakubaliana ukiwa unarudi home upige mluzi ama utangulize nyama kg kadhaa?
Ona sasa! Huyu mkeo funga saba utubu kwa kumnyatia na umuombee Mungu amsaidie aache tabia ambazo hazina utukufu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.