Recent content by kinga cha moto

  1. K

    CHADEMA yamaliza Misheni yake Jimbo la Ndanda, sasa yaingia Nanyumbu

    Kanzi nzuri chadema,, vyovyote vile mnapigania maslahi ya umma wa Tanzania,, vinginevyo msingezuiliwa kufanya mikutano,, wala kutekwa, kubambikwa kesi. Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  2. K

    Halima Mdee aomba radhi Bungeni kwa kutoa matusi

    Aiseee umenena point mkuu" zipo tabia zinazopelekea kutukanwa!!!
  3. K

    Kama TISS wataamua kuwa wauaji, watekaji na watesaji, kuna kiongozi wa upinzani atasalimika?

    Upo sawa kabsa mkuu uchambuzi wako ni wa weledi na ushahidi yakinifu.
  4. K

    Lipumba hachomoki kwa ushahidi huu; aliyepigwa ni mmoja wa walinzi aliopewa

    Unapigwa umezungukwa na watu wanatumia mawe ni utepuka vipi kipigo
  5. K

    Imetosha: Suala la Jina bandia la Mh Paul Makonda Vs Askofu Jose Gwanjima

    Hoja kuu hapo bila kujali hayo yote huyu aliye watuhumu wenzie
  6. K

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Wakimkamata atawa eleza tu udhani kutakua na ugumu wowote? Hakuna shida hapo@ shida ni Bashite kuthibitisha kuwa hakufoji vyeti hapo ndipo kuna shida kubwa!!!
  7. K

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Ha Hasira yako inatokana na nini hasa!! Kufichua ukweli na kuweka uthibitisho wazi ni kumchafua? Kujichafua kumchafua mwenyewe Bashite' kwa kufoji vyeti si vinginevyo' wengine waliwajibishwa! yey Bashite kwanini asiwajike mnamlilia kwa kujenga nni kwa taifa hili?wote waliokwisha ondolewa kzn...
  8. K

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Hawana jibu sasa wafanyeje?? Inabidi waepuke kukaa kimya wkt mashambulizi yanazdi kuwashukia juu ya Basheti.
  9. K

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    HAhahaha mmepoteana kwa hili mtajichanganya mpaka mjivuruge' bora mnge kaa kimya ingekua hekima kwenu' lkn kwa hili mnazdi kujizamisha kwenye dibwi zito mno' misilo weza kutoka.
  10. K

    Nape: Samaki aliyefunga mdomo wake kamwe hanaswi na ndoano ya mvuvi

    Ukawa Ukawa wapasuke yye na watakao mmkingia kifua wapasuke?!!! mbona wataka kumtanganya kizembe hivi??
Back
Top Bottom