Unapigwa umezungukwa na watu wanatumia mawe ni utepuka vipi kipigoSio rahisi kihivyo! Usalama wa Taifa hawezi kupigwa "kibwege" hivyo.Mtu alyeiva kimafunzo hawezi kupigwa kifala namna hiyo.Huyo atakuwa mmoja wa mgambo wa uraiani wanaojipa vyeo vya maafisa wa Usalama au wale jamaa wa Blue Brigade waliopata pata vimafunzo vya Kareti Na Konfu.
Ishu ni kuotewa. Unaweza kuwa umekaba huku halafu unakatwa huku. Hao wajuzi wa kupigana wanaonyesha uwezo wakiwa na wajuzi wenzao. Wakikutana na hasira za kitaa hazina fomula jinsi ya kusulubu.Mkuu kwenye hilo tukio kuna footage ya huyo jamaa akijilinda?Mimi sishabii watu kuvuruga shughuli halali za vyama vya Siasa.Na wala watu wasifikirie ni CCM.Mimi sio CDM wala CUF.Mimi ni Mtanzania ambaye chama changu ni Haki Na ustawi wa Taifa letu.Ninachokataa ni watu ku-label huyo jamaa kama mtumishi wa Idara.Kweli wako watumishi wa Idara ngazi anuai lakini mtumishi wa Idara wa kuweza kuchomolewa akamlinde Lipumba sio mtu wa level ya kupewa kisago kiasi hicho Na asiache hapo maiti za watu kadhaa.
Si kweli inategemea umeingia kumi na nane zipi ukiingia vibaya unachezea kichapo tu.Huyu karusha iki huyu hiki,mafunzo na hali halisi ni vitu viwili tofauti,cha msingi akili za kuambiwa changanya na zako.Huyo jamaa alikosea timing tu amshukuru Mungu ni mzima atatibiwa atapona.Sidhani kama atathubutu tena.Sio rahisi kihivyo! Usalama wa Taifa hawezi kupigwa "kibwege" hivyo.Mtu alyeiva kimafunzo hawezi kupigwa kifala namna hiyo.Huyo atakuwa mmoja wa mgambo wa uraiani wanaojipa vyeo vya maafisa wa Usalama au wale jamaa wa Blue Brigade waliopata pata vimafunzo vya Kareti Na Konfu.
malipo ni hapa hapa duniani... Jamani kwa walioiona video wakati hawa mazombi wa lipumba wanavamia mkutano wa CUF, hilo jamaa lililovunjwa msuli wa Mguu ndo lilianza kuingia chumba cha mkutano na kuanza kumpiga kiongozi mmoja wa cuf aliyekuwa ameketi jirani kabisa na mlango..View attachment 500233 View attachment 500184 View attachment 500183 [HASHTAG]#BreakingNews[/HASHTAG]
Aliyechezea Kichapo Jana kwenye Mkutano Wa Maalim Seif Huyu Hapa. Kumbe Ni Mmoja Ya Watu( Usalama wa Taifa) Wanaomlinda Lipumba.
Mazingira yalomsababishia Kilema yatamuumiza maisha yake YOOOTENdiyo basi tena ameshakatwa breki mguu mmoja huyu tayari ni kilema wa kudumu
View attachment 500233 View attachment 500184 View attachment 500183 [HASHTAG]#BreakingNews[/HASHTAG]
Aliyechezea Kichapo Jana kwenye Mkutano Wa Maalim Seif Huyu Hapa. Kumbe Ni Mmoja Ya Watu( Usalama wa Taifa) Wanaomlinda Lipumba.
Anacret unaniaibisha Bluebliged ya wapi?Sio rahisi kihivyo! Usalama wa Taifa hawezi kupigwa "kibwege" hivyo.Mtu alyeiva kimafunzo hawezi kupigwa kifala namna hiyo.Huyo atakuwa mmoja wa mgambo wa uraiani wanaojipa vyeo vya maafisa wa Usalama au wale jamaa wa Blue Brigade waliopata pata vimafunzo vya Kareti Na Konfu.
Mkuu usiongee kama unaishi nje ya dsmSio rahisi kihivyo! Usalama wa Taifa hawezi kupigwa "kibwege" hivyo.Mtu alyeiva kimafunzo hawezi kupigwa kifala namna hiyo.Huyo atakuwa mmoja wa mgambo wa uraiani wanaojipa vyeo vya maafisa wa Usalama au wale jamaa wa Blue Brigade waliopata pata vimafunzo vya Kareti Na Konfu.
Huyu ndie angeleta mrejesho nini kinaendelea huko kati dah... Basi banaKwanini raia hawakutokomea nae kusikojulikana huyu shenzi
Yeye tayari alishaweka.mbonaNajua ila nataka akiamka aone hii picha alikua akiitafuta sana
Samahani,Ndiyo basi tena ameshakatwa breki mguu mmoja huyu tayari ni kilema wa kudumu
Hata uwe na mafunzo mzee, kwa raia utakiri tuSio rahisi kihivyo! Usalama wa Taifa hawezi kupigwa "kibwege" hivyo.Mtu alyeiva kimafunzo hawezi kupigwa kifala namna hiyo.Huyo atakuwa mmoja wa mgambo wa uraiani wanaojipa vyeo vya maafisa wa Usalama au wale jamaa wa Blue Brigade waliopata pata vimafunzo vya Kareti Na Konfu.
Sio rahisi kihivyo! Usalama wa Taifa hawezi kupigwa "kibwege" hivyo.Mtu alyeiva kimafunzo hawezi kupigwa kifala namna hiyo.Huyo atakuwa mmoja wa mgambo wa uraiani wanaojipa vyeo vya maafisa wa Usalama au wale jamaa wa Blue Brigade waliopata pata vimafunzo vya Kareti Na Konfu.
Haaa nimeipenda hiyo ya usalama wa wananchi na sio usalama wa Taifa sababu wanao vamia vituo vya tv na kuonyesha 'ushamba wa kuonyesha bastola' mbele ya kadamnasi hawachukuliwi hatuaHuyu inabidi aaikabidhiwe kwenye vyombo vya sheria maana kule wanafahamu ukweli wote. Walijaribu kutengeneza bongo movie lkn imedunda kisa director wabovu. Hapa kinachotakiwa tuunde usalama wa wananchi na tumshughulikie mpaka ataje wenzake huyo yani kwa siku anakatwa kidole kimoja bila ganzi, siku nyingine unang'oa nywele za korodani kesho yake unavuta kucha ya kidole kimoja hakika atasema na atataja.