Recent content by king90

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tigo 5G inapatikana wapi?

    Voda 5G iko vizuri ingawa sio maeneo yote inapatikana ila hawa Tigo ni wasanii wanakwambia maeneo ya masaki,Airport na city centre inapatikana 5G ila kiuhalisia hamana kitu.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tigo 5G inapatikana wapi?

    Vyote ninavyo
  3. K

    JamiiForums Tanzania Airtel Tanzania wamekuja na huduma ya eSIM

    Voda wenge jingi 5G yenyewe inayumba sana
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tigo 5G inapatikana wapi?

    Hii 5G ya tigo inashika wapi na wapi mbona sie tunaoshinda city centre na masaki hatuioni au geresha? Fanyeni kweli kama ya voda mpaka buza inashika
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wireless Home Internet Provider ipi inafaa?

    Hii changamoto acha tukomae na smile,unazunguka na kirouter chako mji mzima
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nichukue gari ipi kati ya Toyota Voltz, Harrier, Rav 4 old na Premio?

    Kwanza hongera kwa kujichanga na kufikisha hicho kiasi! Naomba nikushauri kitu kama ni mpambanaji pambana uongeze pesa uchukue Toyota voltz toka japani yenye 4WD ni gari nzuri spare zipo nyingi tu licha ya uzalishaji wake kusimama nimeitumia huu ni mwaka wa 6 na chuka iko vizuri kabisa.ila...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Supplies Officer II at Agricultural Seed Agency (ASA)

    ASASS 4 ni kama bei gani, mwenye kujua?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Veting
  9. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi ya kuondolewa huduma ya magari ya Bolt

    Usijidanganye gari zimepanda bei karibu zote
  10. K

    JamiiForums Tanzania Maswali yaliyonitesa kichwa kwenye 'written interview' Utumishi

    Hizi sio component,hizi ni steps involved in Research design
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

    Usaili pia ni sehemu ya majukumu yao
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mwenye IST ya biashara

    Mkuu Good luck ila kwa hiyo hera naona kama ndogo sana,ila waweza fika bank ukawaeleza idea yako waweza saidiwa
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nafasi zimetangazwa 12 Utumishi interview tumeenda 8. Je, kuna uwezekano kweli wa kupata kazi wote au sheria ndo inafuata mkondo?

    Hapo wote mmeshapata kazi hao 4 wamechukuliwa kwenye kanzi data,ndivyo inavyokuwaga mara nyingi so hongera sana
  14. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari kwa ajili ya kufanyia kazi ya UBER, Bolt

    Hesabu unaweza kupeleka bei gani na mkataba bei gani kwa muda gani?
Back
Top Bottom