Kwanza una simu ya 5G na laini ya 5G
Mkuu issue ya 5G ni Simu iwe na 5G na Oem pia awe ameruhusu utumie 5G, mpaka upate update husika ndio simu yako itashika 5G. Voda ni hivyo hivyo.
Hata dar ilikuwa hivyo, naona jana wametuma msg kuwa wame update mitambo yao kuongeza speedMkuu tuna simu za 5G ila provider Tigo amezidi usanii, kama wiki nilikua dodoma mjini yani si network ya kupiga kawaida wala data vina stability - zote hovyo! Tigo wanakwama wapi?
Chief-Mkwawa hivi Samsung Galaxy S20 ina support esim?Mkuu issue ya 5G ni Simu iwe na 5G na Oem pia awe ameruhusu utumie 5G, mpaka upate update husika ndio simu yako itashika 5G. Voda ni hivyo hivyo.
Nimeangalia Gsmarena inasuport model ya single sim.Chief-Mkwawa hivi Samsung Galaxy S20 ina support esim?
Nashangaa jamaa wa Airtel ananiambia haina uwezo huo baada ya kupiga *#06#Nimeangalia Gsmarena inasuport model ya single sim.
sometime hardware inakuwepo ila software imefungwa.Nashangaa jamaa wa Airtel ananiambia haina uwezo huo baada ya kupiga *#06#
Mkuu issue ya 5G ni Simu iwe na 5G na Oem pia awe ameruhusu utumie 5G, mpaka upate update husika ndio simu yako itashika 5G. Voda ni hivyo hivyo.
Mpaka simu yako iwe updated mkuu, hata Voda ilikua hivyo hivyo wakati inatoka mwanzo.Voda 5G iko vizuri ingawa sio maeneo yote inapatikana ila hawa Tigo ni wasanii wanakwambia maeneo ya masaki,Airport na city centre inapatikana 5G ila kiuhalisia hamana kitu.