Wireless Home Internet Provider ipi inafaa?

Wireless Home Internet Provider ipi inafaa?

Kama ndivyo Bora kukimbilia smile Wana true unlimited ya 185,000/= unakuwa na router yako unaendanayo popote na unatumia vyovyote utakavyo.Gharama Iko juu kidogo ila ni bora kuliko hio ya voda yakuwa fixed sehemu moja
Ni true unlimited? Maana hawa jamaa unlimited zao wanabana speed ukitumia sana.

Na hio bei kwa makampuni mengine unaweza funga unlimited Nyumbani, ofisini na kijiwe cha kahawa na change inarudi.
 
Ukiacha Vodacom hakuna mtandao mwingine utaokuwa unatoa hiyo huduma kwa bei ya vifurushi chini ya hapo
Hao hao voda wana unlimited zile unatumia bando likiisha unaendelea kuwa connected lakini kwa speed ndogo. Am not sure speed ni ndogo kiasi gani kila kifurushi.
 
Naomba kujua hii router naweza kumove nayo kutoka home kwenda nayo ofisini? Ama Niya sehemu Moja TU kama ni home ni home kama ni ofisini ni ofisini TU.
Ni fixed sio ya ku move nayo boss Io supakasi internet unapata Ile shm umechagua home bas unafungiwa antenna home
 
Ni fixed sio ya ku move nayo boss Io supakasi internet unapata Ile shm umechagua home bas unafungiwa antenna home

Hii changamoto acha tukomae na smile,unazunguka na kirouter chako mji mzima
 
Ni true unlimited? Maana hawa jamaa unlimited zao wanabana speed ukitumia sana.

Na hio bei kwa makampuni mengine unaweza funga unlimited Nyumbani, ofisini na kijiwe cha kahawa na change inarudi.
You're right...

Wengi wanaosema unlimited, sio unlimited! Last week tu hapa niliongea na kampuni moja inayotoa, nadhani ni satelite or fibre internet. Kama kawaida yao, nao wanajifanya kuuza speed coz' the bundle is UNLIMITED!

Kwavile haya mambo back in the days niliwahi kukutana nayo, nikaendelea kumhoji yule binti, na bila kujua, huku akidhani ndo anafanya mauzo zaidi, akajikuta akisema "na pia tunatoa data allowance of .... wakati wa usiku!

Nikamuuliza kwanini watoe data alllowance wakati package yao ni unlimited; ndipo ikabidi aseme ukweli kwamba kwa kifurushi nilichokuwa nakitaka, wanatoa something like 40GB, na zikiisha, ndo wanatoa hiyo allowance!!

Nikajua tu hiyo allowance lazima itaendana na reduced speed... NIKAACHANA NAO!
 
You're right...

Wengi wanaosema unlimited, sio unlimited! Last week tu hapa niliongea na kampuni moja inayotoa, nadhani ni satelite or fibre internet. Kama kawaida yao, nao wanajifanya kuuza speed coz' the bundle is UNLIMITED!

Kwavile haya mambo back in the days niliwahi kukutana nayo, nikaendelea kumhoji yule binti, na bila kujua, huku akidhani ndo anafanya mauzo zaidi, akajikuta akisema "na pia tunatoa data allowance of .... wakati wa usiku!

Nikamuuliza kwanini watoe data alllowance wakati package yao ni unlimited; ndipo ikabidi aseme ukweli kwamba kwa kifurushi nilichokuwa nakitaka, wanatoa something like 40GB, na zikiisha, ndo wanatoa hiyo allowance!!

Nikajua tu hiyo allowance lazima itaendana na reduced speed... NIKAACHANA NAO!
Itakua ni Satelite mkuu.

Kwa uelewa wangu Fiber zote ni true unlimited na hata wakiweka cap inakuwa kwenye terabyte huko ambazo kwa matumizi ya kawaida si rahisi kufika.

Fiber zina Capacity kubwa sana, tofauti na mobile data na satelite internet.
 
Itakua ni Satelite mkuu.

Kwa uelewa wangu Fiber zote ni true unlimited na hata wakiweka cap inakuwa kwenye terabyte huko ambazo kwa matumizi ya kawaida si rahisi kufika.

Fiber zina Capacity kubwa sana, tofauti na mobile data na satelite internet.
Yeah, ni satelite coz' wanakufungia na dishi kabisa, na kwa Dar es salaam bei ya installation ni very expensive... ni M something!

TTCL wanatu-let down sana yaani! Hawa jamaa wangecheza na hii fursa inayotokana na crazy mobile bundles, baada ya mwaka wangekuwa mbali sana kwa mapato!!
 
You're right...

Wengi wanaosema unlimited, sio unlimited! Last week tu hapa niliongea na kampuni moja inayotoa, nadhani ni satelite or fibre internet. Kama kawaida yao, nao wanajifanya kuuza speed coz' the bundle is UNLIMITED!

Kwavile haya mambo back in the days niliwahi kukutana nayo, nikaendelea kumhoji yule binti, na bila kujua, huku akidhani ndo anafanya mauzo zaidi, akajikuta akisema "na pia tunatoa data allowance of .... wakati wa usiku!

Nikamuuliza kwanini watoe data alllowance wakati package yao ni unlimited; ndipo ikabidi aseme ukweli kwamba kwa kifurushi nilichokuwa nakitaka, wanatoa something like 40GB, na zikiisha, ndo wanatoa hiyo allowance!!

Nikajua tu hiyo allowance lazima itaendana na reduced speed... NIKAACHANA NAO!
Hii ya smile ni true unlimited nimetumia Dana,shida no hiyo gharama
 
Yeah, ni satelite coz' wanakufungia na dishi kabisa, na kwa Dar es salaam bei ya installation ni very expensive... ni M something!

TTCL wanatu-let down sana yaani! Hawa jamaa wangecheza na hii fursa inayotokana na crazy mobile bundles, baada ya mwaka wangekuwa mbali sana kwa mapato!!
Taasisi za serikali shida tupu.

Zuku taratibu atasambaa Dar nzima. Miaka mitano si mingi.

Demand ni kubwa sana.
 
Hii ya smile ni true unlimited nimetumia Dana,shida no hiyo gharama
Yeah, smile nawakubali sana tangu wanaingia kwenye hii business sema eneo nilipo sasa bado hawajafika!!
 
Taasisi za serikali shida tupu.

Zuku taratibu atasambaa Dar nzima. Miaka mitano si mingi.

Demand ni kubwa sana.
Zuku wameshashtukia fursa, na hadi TTCL wanaamka usingizini, watakuta reliable markets zote zimeshabebwa!!
 
VODACOM INTERNET (5G) SUPAKASI

PRICE PER MONTH

30Mbps-[120,000]-Unilimited bundle speed ya 5G
50mbps>[150,000]Unilimited bundle speed ya 5G
100Mbps>[250,000]unlimited bundle speed ya 5G
200Mbps>[400,000]Unlimited bundle speed ya 5G
350Mbps[600,000]Unlimited bundle speed ya 5G

For more information kindly check me DM or call 0744355811



It's 5G FWA (fixed wireless access) sahau LTE TDD ( antenna)

654732258.jpg
1531441983.jpg
 
Hii naweza ama nayo? Maana nyumba zenyewe za kupanga
VODACOM INTERNET (5G) SUPAKASI

PRICE PER MONTH

30Mbps-[120,000]-Unilimited bundle speed ya 5G
50mbps>[150,000]Unilimited bundle speed ya 5G
100Mbps>[250,000]unlimited bundle speed ya 5G
200Mbps>[400,000]Unlimited bundle speed ya 5G
350Mbps[600,000]Unlimited bundle speed ya 5G

For more information kindly check me DM or call 0744355811



It's 5G FWA (fixed wireless access) sahau LTE TDD ( antenna)

View attachment 2375302View attachment 2375303
aweza
 
Inawezekana nyumba mbili zilizokwenye compound moja kushare?
Je sehem unayokaa Kuna coverage ya 5G nadhan ni better ufanyiwe survey kwanza kama unataka 5G lkn kama wataka Device za 4G Haina haja ya survey ila inakuja indoor router
 
Dar au coverage ya 5G hata Dar imegawanyika tena hilo si balaa
Je sehem unayokaa Kuna coverage ya 5G nadhan ni better ufanyiwe survey kwanza kama unataka 5G lkn kama wataka Device za 4G Haina haja ya survey ila inakuja indoor router
r
 
Back
Top Bottom